Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Kwa kweli love, na tupo hapa kwaajili hiyo na kuelimika na kuburudika πCheka utanue mapafu kipenziii π!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kweli love, na tupo hapa kwaajili hiyo na kuelimika na kuburudika πCheka utanue mapafu kipenziii π!!
Muulize Tayukwa wakati wenzake wanatoa nyuzi za kufungukia wanaowafukuzia yeye alikuwa wapi? πππππKabesaaa dear jf stress free zone!
Anashoia sana, yupo humu kama hayupo. Na akizuka ni kama hivi kama mzee wa Ini Oyaaaaa πππππππππ! Tena sio mgeni nae wa muda humu sijui alikwama wapi hata!
Kwenye hizo picha Bantu Lady mwenyewe ndiyo yupi ππHelloowww guyss!!!
Today a true queen was born and I take this chance to wish her a very sweet, happy , lovely ,enjoyable, and an ameizing birthday!
Mary God bless you and grant you many more years to celebrate!
Happy birthday Bantu Lady
View attachment 2662769View attachment 2662770
Ni mmoja wapo babuu!!Kwenye hizo picha Bantu Lady mwenyewe ndiyo yupi ππ
Shughuli za kilimo zinanifanya nipitwe na mengi huko Mjini
Happy belated birthday Mjukuu, Mungu akusaidie uishi miaka mingi hadi umpite Babu yako hapa Umri π€ͺ
Asante Babu wa mchongo... Babu kijana anayependa uzee ππππ GrahamsKwenye hizo picha Bantu Lady mwenyewe ndiyo yupi ππ
Shughuli za kilimo zinanifanya nipitwe na mengi huko Mjini
Happy belated birthday Mjukuu, Mungu akusaidie uishi miaka mingi hadi umpite Babu yako hapa Umri π€ͺ
Kweli Babu yenu nimekuza, yaani Bantu Lady mwaja juzi tu alikuwa na miaka 13 leo hii ametimiza miaka 15 π€Ni mmoja wapo babuu!!
Kilimo ni uti wa mgongo bila kilimo sote tutakufa njaa!!
Vyote Anatumia babuu keki ilikua jana kasema Leo siku ya πΎπΎπΎπΎπΎKweli Babu yenu nimekuza, yaani Bantu Lady mwaja juzi tu alikuwa na miaka 13 leo hii ametimiza miaka 15 π€
Muulize kama meno yamemwota nimletee Korosho atafune, kama bado nimletee maziwa ya mbuzi anywe π€ͺ
Nilivyomisi Wine sasa π·Vyote Anatumia babuu keki ilikua jana kasema Leo siku ya πΎπΎπΎπΎπΎ
Haya Do the needful babuu ;
πππππππππ Babu kama Babu π€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈ Tonnia Babu wa mchongo atuletee korosho. Nitazipitia kwako mamiiKweli Babu yenu nimekuza, yaani Bantu Lady mwaja juzi tu alikuwa na miaka 13 leo hii ametimiza miaka 15 π€
Muulize kama meno yamemwota nimletee Korosho atafune, kama bado nimletee maziwa ya mbuzi anywe π€ͺ
Weee mi hapana akuleteee wewee basdei gal mi ntakuja kudoea kwako!!ππππππππππ Babu kama Babu π€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈ Tonnia Babu wa mchongo atuletee korosho. Nitazipitia kwako mamii
Korosho zitakufikia za kutosha, ila uwe jirani na Mkwe wangu maana nazijua zile πππππππππππππ Babu kama Babu π€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈπ€ΈββοΈ Tonnia Babu wa mchongo atuletee korosho. Nitazipitia kwako mamii
Hahahaha..............ngoja nimtumie kwa DHL π€Zawadii anapokea mwenye basdei babuu!!