Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida kufuli langu limegoma kufunguka, sijui itakuaje. Halafu sijui kachelewa πππππΆββοΈπΆββοΈπΆββοΈπΆββοΈππππππTayukwa anakuelewa siku nyingi sanaaa shougaaangu usimfanyie hivoooπππ!
Jamanee jamanee...ye mpe moyo tyuu basi kufuli litafunguka automatic!!πShida kufuli langu limegoma kufunguka, sijui itakuaje. Halafu sijui kachelewa πππππΆββοΈπΆββοΈπΆββοΈπΆββοΈππππππ
Sina bando in Ini voice. Hivi unakumbuka walivyosema Ini huwa anasema nitumie bando kwanza ππππππππJamanee jamanee...ye mpe moyo tyuu basi kufuli litafunguka automatic!!π
Hakubali huyuUsijareee Namba ya murembo alisema atakutumia mwenyewe mkuu
Unaanza sasa kumchimba bitiUwiii Tonnia, Tonnia, Tonnia ππππππ nimekuita mara 3 πππππ
Asante sana King Kong III huna baya best πHBD mwananchi Bantu Lady
Kwani uchaguzi mkuu lini niwanie jimbo?Shida kufuli langu limegoma kufunguka, sijui itakuaje. Halafu sijui kachelewa πππππΆββοΈπΆββοΈπΆββοΈπΆββοΈππππππ
Sasa bando hilo naweka kwenye kope.?Tulia keshaanza kuelewa somo mfanyie wepesi bando la mwaka kwanzaaa!
Mtoto wewe unajua sana Tonnia afanye la mwaka kwanza, halafu afikiriwe πππππNasahaujeee lol!! mkuu Tayukwa haya do the needful bando la mwaka pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!
Kwako Bantu LadyKwani uchaguzi mkuu lini niwanie jimbo?
Mbona unasound kama kaka yangu Ngalikihinja isije kuwa ni fekero lake hili, ananichora tu hapa π€£π€£π€£π€£π€£Sasa bando hilo naweka kwenye kope.?
Ila Tonnia hapana una vituko, huwa nacheka basi tu. Unafurahisha mtu hachoki πππ
π€£π€£π€£π€£π€£ππ!Mbona unasound kama kaka yangu Ngalikihinja isije kuwa ni fekero lake hili, anajichora tu hapa π€£π€£π€£π€£π€£