Happy birthday Bantu Lady

Happy birthday Bantu Lady

Mdogo ake Penseli 4 Happy EID MUBARAK wapi leo?
Asante kwa wishes auntiee mwenye shepu lake. πŸ’πŸŽ‰πŸ˜.

Ma introvert tunapendaga kujifungia ndani tu... πŸŒ™πŸŒ™πŸŒ™πŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ˜Š Movie kidogo na mziki πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
IMG_20230629_101835.jpg
download (2).jpeg
 
... tulikuliana kondooo mkuuu.. mwenye mkia mnene . unajua alafu nyama ya kondooo inawafanya warembo wawe watamu zaidi na warembooo zaidiii... ndio maana nilitaka huyo mnyamaaa ili mashangazi wetu wazuri wazidi kunogaaa 😊😊😊
Bantu Lady Antonnia na leo nimewaotaaa yaaani ni πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
Weee mjomba nahizo ndoto una balaaa wewe😁😁!
 
😁😁😁😁😁😊!!

Wasitufanyie hivoo jamaniii Allah hapendii😁😁😊!!
Nasisi tuache uchoyo, katika sikukuu zetu πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
Ninaumwa kichwa balaa. Kinagonga na siwezi kunywa dawa, jana nilikunywa late sanani km leo tu. Naogopa kujitanguliza πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”
 
Nasisi tuache uchoyo, katika sikukuu zetu πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
Ninaumwa kichwa balaa. Kinagonga na siwezi kunywa dawa, jana nilikunywa late sanani km leo tu. Naogopa kujitanguliza πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”
Sie mbona tuliwaalika jamani watakua wamesahau tuuπŸ˜„πŸ˜„!

Wee pole dear basi kunywa maji mengii lol kumbe wee muoga wa dawa kama Mie kumeza Panadol tu kasheshee!!
 
Sie mbona tuliwaalika jamani watakua wamesahau tuuπŸ˜„πŸ˜„!

Wee pole dear basi kunywa maji mengii lol kumbe wee muoga wa dawa kama Mie kumeza Panadol tu kasheshee!!
Asante dear. Ngoja ninywe maji mengi, maana kinakera hapa majikaza tu
 
😘😘😘😘 My beautiful auntiee, nimekumiss mpaka basi,

Natumai upo vyedi tonnia wa penseli πŸ˜πŸ˜πŸŽ‰πŸ’
Tonniah wa penseli lol una hatari wee ankoo!!😊! Mie nishazeeka ankoli akee nyie mnawezana na vigoriiii!
Tonniah anapambana naharee yakee πŸ˜„!
 
Tonniah wa penseli lol una hatari wee ankoo!!😊! Mie nishazeeka ankoli akee nyie mnawezana na vigoriiii!
Your my auntiee rafiki, sijamaanisha......

☺️☺️☺️ Nakuheshimu sana πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€,

No worries 😁😁😁. Alafu kuna shem namtengeneza πŸ˜†πŸ˜‰ ntakuambia siku moja tu
 
Nasisi tuache uchoyo, katika sikukuu zetu πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
Ninaumwa kichwa balaa. Kinagonga na siwezi kunywa dawa, jana nilikunywa late sanani km leo tu. Naogopa kujitanguliza πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”
😒😒😒, pole auntiee mzuri mmmh.

Drink water na panadol extra kipenzi au hulali vizuri... Labda πŸ˜₯😩😩

Hope you get well
 
Your my auntiee rafiki, sijamaanisha......

☺️☺️☺️ Nakuheshimu sana πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€,

No worries 😁😁😁. Alafu kuna shem namtengeneza πŸ˜†πŸ˜‰ ntakuambia siku moja tu
Naelewa ni utani ankoo akeee hunaga bayaaa huna hizo mamboo kabesaa!

Weee unamtengenezea nani ankoo akee ukipata wawilii usinisahau auntie ako hapaaπŸ™‡πŸ˜„!!
 
😒😒😒, pole auntiee mzuri mmmh.

Drink water na panadol extra kipenzi au hulali vizuri... Labda πŸ˜₯😩😩

Hope you get well
Kumbe uko vizure anko akee.. First aid imetulia sana hio!
 
Back
Top Bottom