Happy birthday Bantu Lady

Weee mjomba nahizo ndoto una balaaa wewe😁😁!
 
😁😁😁😁😁😊!!

Wasitufanyie hivoo jamaniii Allah hapendii😁😁😊!!
Nasisi tuache uchoyo, katika sikukuu zetu πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
Ninaumwa kichwa balaa. Kinagonga na siwezi kunywa dawa, jana nilikunywa late sanani km leo tu. Naogopa kujitanguliza πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”
 
Nasisi tuache uchoyo, katika sikukuu zetu πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
Ninaumwa kichwa balaa. Kinagonga na siwezi kunywa dawa, jana nilikunywa late sanani km leo tu. Naogopa kujitanguliza πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”
Sie mbona tuliwaalika jamani watakua wamesahau tuuπŸ˜„πŸ˜„!

Wee pole dear basi kunywa maji mengii lol kumbe wee muoga wa dawa kama Mie kumeza Panadol tu kasheshee!!
 
Sie mbona tuliwaalika jamani watakua wamesahau tuuπŸ˜„πŸ˜„!

Wee pole dear basi kunywa maji mengii lol kumbe wee muoga wa dawa kama Mie kumeza Panadol tu kasheshee!!
Asante dear. Ngoja ninywe maji mengi, maana kinakera hapa majikaza tu
 
😘😘😘😘 My beautiful auntiee, nimekumiss mpaka basi,

Natumai upo vyedi tonnia wa penseli πŸ˜πŸ˜πŸŽ‰πŸ’
Tonniah wa penseli lol una hatari wee ankoo!!😊! Mie nishazeeka ankoli akee nyie mnawezana na vigoriiii!
Tonniah anapambana naharee yakee πŸ˜„!
 
Tonniah wa penseli lol una hatari wee ankoo!!😊! Mie nishazeeka ankoli akee nyie mnawezana na vigoriiii!
Your my auntiee rafiki, sijamaanisha......

☺️☺️☺️ Nakuheshimu sana πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€,

No worries 😁😁😁. Alafu kuna shem namtengeneza πŸ˜†πŸ˜‰ ntakuambia siku moja tu
 
Nasisi tuache uchoyo, katika sikukuu zetu πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
Ninaumwa kichwa balaa. Kinagonga na siwezi kunywa dawa, jana nilikunywa late sanani km leo tu. Naogopa kujitanguliza πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”
😒😒😒, pole auntiee mzuri mmmh.

Drink water na panadol extra kipenzi au hulali vizuri... Labda πŸ˜₯😩😩

Hope you get well
 
Your my auntiee rafiki, sijamaanisha......

☺️☺️☺️ Nakuheshimu sana πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€,

No worries 😁😁😁. Alafu kuna shem namtengeneza πŸ˜†πŸ˜‰ ntakuambia siku moja tu
Naelewa ni utani ankoo akeee hunaga bayaaa huna hizo mamboo kabesaa!

Weee unamtengenezea nani ankoo akee ukipata wawilii usinisahau auntie ako hapaaπŸ™‡πŸ˜„!!
 
😒😒😒, pole auntiee mzuri mmmh.

Drink water na panadol extra kipenzi au hulali vizuri... Labda πŸ˜₯😩😩

Hope you get well
Kumbe uko vizure anko akee.. First aid imetulia sana hio!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…