National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Kweli aunt.. nyamaa ya kondooo nzuri sana kwa wanawake.. hasa yale mafuta yake na ule mkia.. mie hapo kama kibarazani π πAnkol kama Ankol ameshasema kondoo aliyenona π€π€π€π€π€ umeota tena Ankol hatariiii. Ulisema leo utakuwa Samaki samaki?
Weee mjomba nahizo ndoto una balaaa weweππ!... tulikuliana kondooo mkuuu.. mwenye mkia mnene . unajua alafu nyama ya kondooo inawafanya warembo wawe watamu zaidi na warembooo zaidiii... ndio maana nilitaka huyo mnyamaaa ili mashangazi wetu wazuri wazidi kunogaaa πππ
Bantu Lady Antonnia na leo nimewaotaaa yaaani ni π₯π₯π₯π₯
Watatukaribisha kwa Kiarabu tusielewe, wanalipizia Easter.Leo salamu ni Asalaam Aleykum tu msintanieeee!!πππ! Mie sili sana πππ
Bantu Lady Kapachino National Anthem Penseli 4 π
Nasisi tuache uchoyo, katika sikukuu zetu ππππππππππ!!
Wasitufanyie hivoo jamaniii Allah hapendiiπππ!!
Sie mbona tuliwaalika jamani watakua wamesahau tuuππ!Nasisi tuache uchoyo, katika sikukuu zetu ππππ
Ninaumwa kichwa balaa. Kinagonga na siwezi kunywa dawa, jana nilikunywa late sanani km leo tu. Naogopa kujitanguliza ππππ
Asante dear. Ngoja ninywe maji mengi, maana kinakera hapa majikaza tuSie mbona tuliwaalika jamani watakua wamesahau tuuππ!
Wee pole dear basi kunywa maji mengii lol kumbe wee muoga wa dawa kama Mie kumeza Panadol tu kasheshee!!
πππππ tumeweka makazi kabisa mshamba_hachekwi Asante sana mtoto mpaka kishaanza kula pipi za kijiti na na kunywa Alcohol kweli, utapigwa fine ππππBantu Lady uzi naona bado unakimbiaπ haya happy birthmonthπ
ππππ My beautiful auntiee, nimekumiss mpaka basi,Leo salamu ni Asalaam Aleykum tu msintanieeee!!πππ! Mie sili sana πππ
Bantu Lady Kapachino National Anthem Penseli 4 π
Tonniah wa penseli lol una hatari wee ankoo!!π! Mie nishazeeka ankoli akee nyie mnawezana na vigoriiii!ππππ My beautiful auntiee, nimekumiss mpaka basi,
Natumai upo vyedi tonnia wa penseli ππππ
Your my auntiee rafiki, sijamaanisha......Tonniah wa penseli lol una hatari wee ankoo!!π! Mie nishazeeka ankoli akee nyie mnawezana na vigoriiii!
π’π’π’, pole auntiee mzuri mmmh.Nasisi tuache uchoyo, katika sikukuu zetu ππππ
Ninaumwa kichwa balaa. Kinagonga na siwezi kunywa dawa, jana nilikunywa late sanani km leo tu. Naogopa kujitanguliza ππππ
Naelewa ni utani ankoo akeee hunaga bayaaa huna hizo mamboo kabesaa!Your my auntiee rafiki, sijamaanisha......
βΊοΈβΊοΈβΊοΈ Nakuheshimu sana ππππ,
No worries πππ. Alafu kuna shem namtengeneza ππ ntakuambia siku moja tu