Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 11,050
- 31,412
Nimechelewa sana Bantu Lady lakini hongera kwa siku ya kuzawa!
Enjoy your life my sister
Enjoy your life my sister
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana kaka yangu Pendaelli kikubwa uzima upo. Tunamshukuru Mungu. Shukrani sana, pamoja.Nimechelewa sana Bantu Lady lakini hongera kwa siku ya kuzawa!
Enjoy your life my sister
Itakuwa hatari kabisa 😄😄😄😄😄 mnyama katulia sana mbele. Acha tuvute subira 😚😚😚Kweli babe
Pengine siku mambo yanakubali nakua tayari nna crown mtoa roho ya babeView attachment 2668521
Shikamoo kaka Pendaeli[emoji113]Nimechelewa sana Bantu Lady lakini hongera kwa siku ya kuzawa!
Enjoy your life my sister
😍😍... kambi nahamishiaaa hapaaa sasaPenseli 4 Fanya ukuje Dp world hukuuu nishakumiso mpaka naumwaaa![emoji2788][emoji2788][emoji2788][emoji2788][emoji2788]!
National Anthem DW nihukuuu[emoji4][emoji4]
Mtachapwa 😅😅😅😅Huku ndio tulihamia rasmi kule jioni tulivamiaa kuchangamsha genge tyuuu mjombaa!!😊😊
Hii ndio kambi rasmii sasa au nasema uongo Penseli 4 ???😊
😊😊😊... hilo limepitaaa 💯Huku ndio tulihamia rasmi kule jioni tulivamiaa kuchangamsha genge tyuuu mjombaa!!😊😊
Hii ndio kambi rasmii sasa au nasema uongo Penseli 4 ???😊
Nakaziaaaaaaaaaaaaaaa mjombbaaaaa!! Sema tumepumzika kwanzaa!!😊😊 Bantu Lady nime miss kukuona hata ukuchaaa
Tumepumzika acha upepo upite kwanza 😄😄😄😄😊😊 Bantu Lady nime miss kukuona hata ukuchaaa
😂😂😂😂😂😂🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻 mzima mrembo wewe? Maana toka juzi nahisi tunaonana juu kwa juu tu.Eeendiwoooooooo ndiwooo mjombaaaaa anaewashwa akilete hukuuu mkishighulikie mjombaa😊😊!!
Yaani hoi nilicheza ile jumamosi 😄😄😄😄😄 nyimbo zote, zilikuwa zimahamasisha kusimama. Huku kwingine tuombe Mungu 😪Niko poa sana kipenzi ratiba imebanajeee lol!!
Bila shaka sherehe zilienda vyedii dear!!
Sikupatiii picha uvoyarudiiii ma kichwani ushapiga🍾🍾🍾🥂🥂🥂 zakutosha!!Yaani hoi nilicheza ile jumamosi 😄😄😄😄😄 nyimbo zote, zilikuwa zimahamasisha kusimama. Huku kwingine tuombe Mungu 😪