Happy birthday bia ya safari lager leo umetimiza miaka 48 ya kuzaliwa

Happy birthday bia ya safari lager leo umetimiza miaka 48 ya kuzaliwa

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau hamjamboni nyote?

Siku ya furaha,siku ya kukumbukwa

HAPPY BIRTHDAY SAFARI LARGER

Tarehe 4 Februari 1977 siku kama ya leo bia ya SAFARI LAGER ilizinduliwa na kampuni ya bia Tanzania Breweries katika mikoa ya Arusha na Dar es Salaam. Sherehe za uzinduzi zilifanyika New Africa hotel Jijini Dar es Salaam na mgeni rasmi alikuwa Remigius Kaponda Kalubu Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa TANU.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Siku ya furaha,siku ya kukumbukwa

HAPPY BIRTHDAY SAFARI LARGER

Tarehe 4 Februari 1977 siku kama ya leo bia ya SAFARI LAGER ilizinduliwa na kampuni ya bia Tanzania Breweries katika mikoa ya Arusha na Dar es Salaam. Sherehe za uzinduzi zilifanyika New Africa hotel Jijini Dar es Salaam na mgeni rasmi alikuwa Remigius Kaponda Kalubu Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa TANU.
Safari Lager, bia ya kurudi nyumbani na kusema, 'Nimepotea, lakini niko sawa!'
 
Back
Top Bottom