ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,753
- 9,575
- Thread starter
-
- #81
hahahaaaaaaaaaaaaaa muanzishaji mwenyewe mkongwe lazima wajae wakongwe na maltwani hapa bado sijamuona Baba V, Paloma, KakaKiiza, Arushaone , Mtambuzi , Zion Daughter , Lady doctor, charminglady , valentine, miss chagga na wengineo na kipenzi changu Mentor uko wapi bestt jamaniYaani hii post wamejazana wakongwe maalwatan wa jf,madame nipitie na mimi hao band wanirushe bwana
nyie watu nyie nawaona nawaonaaaaa hahahaaaaaaaa muacheni chrispin wangu hahaaaaaWe nawe wataka kufufua makaburi.
Yule kaka yangu tu.....🙂🙂🙂🙂🙂
haahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa uwiiii mmenichekesha hapa job wamenishangaa kwakweli duuu figganigga hakushiriki kabisa ingawaje nilimwambiaga akala kona siku hiyo hakutokea kabisa ikabidi nimpachike Asprin naye ssasa alikuwa nyweeee hakuweza kitu nikabaki nashangaa tu nifanyaje walinitia aibu kweli hawa hahaaaaaaaaaJollie Jolie wa hazard banasijanunua best ninunulie,hivi ulishirikigi shindano la injili la ladyfurahia pale leotupohapa?
kuna watu walikuwa wanatuokotaga humu jamani
Sawa. Usijali. Muhimu tufanikiwe.yaani sijaifanya niko indoor siku ya 4 sasa nalalwa ,Tuma Pesa kwanza maana kuna nguvu ya ziada inabidi itumike
hahahahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa aiseee uwiiiiii jamani nyie mmenifurahisha sana sasa wewe mlete huyo wifi yangu hapa haraka mpaka sasa hujaoa unasubiria niniHahahaaa.... Jamani... Mimi mwisho ntanyosha mikono. Nataka nipeleke barua ya Posa kwa mrembo fulani tumekutana humu humu JF anaitwa Jolie Jolie. Vipi kwenye harusi utakuja.. Nataka nioe mie nshazeheka sasa.
Mpambaji atakua ladyfurahia. Najua sasa hivi yupo kanisani. Alitoa album yake sijui hata kama uliinunua.
anawapenda wote hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ana shida huyoUnanipenda mimi au mzigua?unataka niwe na wewe au kipaji?
hueleweki baba la baba
Hujambo lkn bibiehahahahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa aiseee uwiiiiii jamani nyie mmenifurahisha sana sasa wewe mlete huyo wifi yangu hapa haraka mpaka sasa hujaoa unasubiria nini
mwambie mathematics kitu kimetulia hahaaaaaaaa
Majirani mshakutana.. Ngoja nikae pembeni kwanza[emoji23]Hujambo lkn bibie
sijambo best niko poa ila mambo yamenikamata kweliHujambo lkn bibie
acha kuingilia wewe yatakushinda mchana kweupeeeeeeeeeeee hahaaaaaaaaaaaMajirani mshakutana.. Ngoja nikae pembeni kwanza[emoji23]
Hahhaaahahnyie watu nyie nawaona nawaonaaaaa hahahaaaaaaaa muacheni chrispin wangu hahaaaaa
hahahaaaaaaaaaaaaaa muanzishaji mwenyewe mkongwe lazima wajae wakongwe na maltwani hapa bado sijamuona Baba V, Paloma, KakaKiiza, Arushaone , Mtambuzi , Zion Daughter , Lady doctor, charminglady , valentine, miss chagga na wengineo na kipenzi changu Mentor uko wapi bestt jamani
Malegendary!
Tumezeeka,yaani Siku Hizi Hata Sitongozwi Pm,njoo Unitongoze Arushaone Nisafishe Nyota
Hahaha.. Hivi wastaarabu mpo?Malegendary!
Vipi imekubali?Hahaha.. Hivi wastaarabu mpo?
Hahaha.. Hivi wastaarabu mpo?
Hahaha.. Hivi wastaarabu mpo?
Amu hasomeki. Kuna na yule pacha wake wa Moshi. Sijui ndo Smile hata sijui anatumia Id gani sasa. Hawaeleweki kama sigara kali.Tuko sana aisee.
Hakika tumekukosa sana!
Come back please!!!