Happy birthday @Charty

Rich Pol alitoweka gafla baada ya uchaguzi...
bado anashangilia ushindi..?si unajua alikua anagombea UDIWANI?
charty!!!!!!!! hii tabia mbaya ya kubana PM umeianza lini?????
tokea nimempata ride n die wangu kibo10
thanks so much mume wangu😛
 
Last edited by a moderator:
Jamani charty nimekuwish happy birthday hadi nimechoka....
Anyway,happy birthday dear...
 
Last edited by a moderator:
'Valentina' kuniweka mimi na miss chagga hapo umefanya kosa kubwa sana maana hata hiyo pesa ya mbege haitafika umiss chagga lazima aimalizie njiani charty happy birthday sana Mungu akuongezee maisha marefu na yenye furaha na amani yake ukaishi miaka mingi sana
 
Last edited by a moderator:
sasa mm mbona hujaniambia nimletee nini au mmenitenga nn?
 
Last edited by a moderator:
Mfuko ulitetereka miss chagga kala kona
Ila hajajua na wala usimwambie aise mgodi unakaribia kutema na hapa ataisoma namba hata akija

Ha haa na ameshanusa harufu ya hela. Atakuja muda si mrefu,jipange
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…