Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unywe juice sasa usinywe mitungi hiyo bado mdogo eeh, kesho ntakutumia 1000 ya juice😀[emoji482][emoji482] babee sis [emoji8][emoji8][emoji182][emoji182]
😂😂😂😂 Ila umejua kuwafunga watu midomoYeesuu na Maria uduguuu wewe ! Mi simooo Shauri ako😊
Treeenaaa wakomeshe mtaa wa pili udugu 😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣!
🎶Walosema nala babuu sio kweli wanazusha🎼🎶🤣🤣,
🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴🚴
Mbona unanichanganya tena?Sio huyo uliomtag bhana 😂😂😂
Huyo no smart nine halafu mbele kuna moja ziko mbili 😜🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Ethiopian ?
Uongo 😂😂😂Humu nawawezeaa wapiii mi uduguuu 🤠 nipo tu napambana nahare yanguuu hukuuu mie! 🤣
😂😂😂😂😂 kuokoka uko kwiyooUduguuu Ukorofi mi nimeokoka ujue 🚶🏻♀️🚶🏻♀️! Babe kanifunda😛😛
Antonnia unazingua, unakua sitaki natakaHapanaaa mi si nilishasemaga jf siwaweziii lakini! Lamomy anakuzingua tu Hekaheka zahumu zishanishindaga muda sanaa!
😂😂😂Hapa nna furaha kumjua shemejiMmeshamtumia Basdei gal zawadi lakini??
Tafuta nyuzi za Antonnia utamkuta 😂😂😂Mbona unanichanganya tena?
Asareeee treinaaahhhh doh🤭! My king ni mtaalamuuu baraaaaa yani ni baraaaa ( In kuryas voice) Ni anakuramba hadi unyayo auweeeee🚴🚴🚴🤣!Uongo 😂😂😂
Naona lile zoezi la kupakana asali linaendelea, halafu udugu una roho mbaya hujanifundisha?!!
Tunasemaga na nani?! Cantry e’m futa comment yako ulisema niache naona unaanza kuyaleta mashetani yangu yapande.Ndio huyo mnasemaga alikuaga na kina depal?