yna2 asante sana mama laoHappy birthday to you..[emoji445][emoji444][emoji344][emoji344]
Haya unitumie cake yangu
It's definitely been a birthday to remember Saint anneHappy birthday dear.
May God give you long life
Ameen Mkuu.Mungu akulinde mkuu, na ninakushauri ujitahidi kuitunza Afya yako
Thank you very much DepalHappy birthday dearest 🍾🍷🎂
Tumezaliwa tar moja 26th ya miezi tofauti 🏃
Huu ni mwaka mpya kwangu jiandae kubarikiwa zaidi
unajua si mimi ila anaekufanya ujiskie vile ni "wewe" Yes its YOU cause
umeamua kubadilika na kama umeamua Trust me,next year utakua another Dinazarde
A champion of your own, a king of your own empire Be ready kwa hayo mabadiliko.
Thank you so much Dinazarde
wakubwa hawaliii unajua (najua unajua)[emoji24][emoji24][emoji24]
Kuliko kukosa cake wacha nilie tu..
Tubarikiwe sote ...huo mjina wako Sasa...[emoji17][emoji17]
[emoji120][emoji7][emoji8]It's definitely been a birthday to remember Saint anne
Thank you so much for your superb birthday wish Saint anne
Tusiongeleshane hadi cake itakapopatikana..hujui jinsi gani niliipania hiyo cake..hujui kichwa chako..wakubwa hawaliii unajua (najua unajua)
unajua wanafanyaga nini wakiumia?... Tuachane na hayo [emoji1787]
ubarikiwe utokapo
ubarikiwe uingiapo
Huo mjina Huo mjina Huo mjinaaaa [emoji848](tusameheane tuu[emoji1787][emoji1787])
nimechekaaa 🤣 🤣Tusiongeleshane hadi cake itakapopatikana..hujui jinsi gani niliipania hiyo cake..hujui kichwa chako..