CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 7,001
- 23,449
- Thread starter
- #41
yna2 asante sana mama laoHappy birthday to you..[emoji445][emoji444][emoji344][emoji344]
Haya unitumie cake yangu
cake yako aseeeš¤ wale majamaaa walinitengenezea "Ndafu" so
nipo na nyama nyama nlibeba kwenye foil nmeacha pale ndani sema ukiztafuna unaweza dhani
unatafuna "BIG G" (wali ni disapoint hapo tu) so nayajua meno yako si mazuri sanaaa
kuliko yatoke kisa n nyama, Acha hiii ipite cake yako ntakutaftia day 1 uikule mpk uteme mate.
For now nikwambie tu Mungu akubariki na azidi kukubariki.