Mbona picha kama yake?La Hasha.... sina undugu nae kabisaaaa.
Labda mapacha wa nje... lolMbona picha kama yake?
Kidogo unaanza kuniaminisha...
Lol, nimecheka sana, thanx dear... lakini hii post ya zamani sana kuna mtu anafukua makaburi yangu sijui ananitaka nini walai, Birthday yangu ni mpaka september.Mbona unaonekana mbabe sana wewe utakuwa unawapiga sana wanaume (Hawa wa dar ) sisi wa mkoani wala sio wachokozi ungejifunza na karate kdogo unakuwa kama Cynthia au Nikita
Anyway happy birthday to you
Huyo tu atakuwa mwanaume wa dar hawaachagi figisufigisu zaoLol, nimecheka sana, thanx dear... lakini hii post ya zamani sana kuna mtu anafukua makaburi yangu sijui ananitaka nini walai, Birthday yangu ni mpaka september.
Thank you dear.... ila duuh umewahi sana bhana, bado miezi kadhaa.Na mimi acha nikuwish tu leo ikifika September ntakuwish tena.
Happy birthday dear..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Ikifika nitakuwish tena mamaThank you dear.... ila duuh umewahi sana bhana, bado miezi kadhaa.