Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee baba, chukulia poaa, Nina miezi kibao sijapigwa mabusu na mtoto wakike😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Asante sana mdada, tuishi miaka mingi soteHappy bilated birth date Mkaka, uishi miaka mingi yenye full baraka,[emoji120]
Mnionee huruma jaman, yangu kesho uwiiiii daaaaaahHappy bilated birth date Mkaka, uishi miaka mingi yenye full baraka,[emoji120]
Mwenyewe tu labda upo bize sana ndio maanaMzee baba, chukulia poaa, Nina miezi kibao sijapigwa mabusu na mtoto wakike
Mpaka najiuliza, nisababu vyuma vimenikazia [emoji3][emoji3][emoji3]
Umeadimika sanaaaaAmeeeen Chwiti Lii wetu. Nashukuru
Mwanangu umechanjiwa huyu @financial ni bonge la kisu mkuu.Asante sana mdada, tuishi miaka mingi sote
Kuna mmoja huku kitaa alinambiaga Putin una msura mbovu [emoji23][emoji23][emoji23]Mwenyewe tu labda upo bize sana ndio maana
Nikweli tumepoteana mpendwa wangu, tena kama kijiwe chetu kile kimejaa vumbi kabisaUmeadimika sanaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inabdi niutafute aiseee niupitieMkuu hukusoma ule uzi wa Mshana Jr kuhusu ndele sio nzuri
Hujawahi kusikia ile kauli ya mwanaume hasifiwi sura mkuu?Kuna mmoja huku kitaa alinambiaga Putin una msura mbovu [emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa nataka, nikibatisha ,NATULIA KABISAA...
Tafuta mkuu ukisoma hautatamani hayo mambo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inabdi niutafute aiseee niupitie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umegoma kukifanyia usafi kabisaNikweli tumepoteana mpendwa wangu, tena kama kijiwe chetu kile kimejaa vumbi kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umegoma kukifanyia usafi kabisa
Mzee babu.... Yangu imezidi..niiv najikubal tuHujawahi kusikia ile kauli ya mwanaume hasifiwi sura mkuu?
Hahahaha sawa sawa mkuuTafuta mkuu ukisoma hautatamani hayo mambo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahaha naona tunategeana tu, ila poa mimi nitakubali unyonge nitafanyia usafi