Tena Uny*ny* hasaaaa. HahaaaaHahahaha unyonyooo
Asnate nashukuruuu sana kaka angu mhandsome4.Wanaume wote mlionitongoza wengine tukaishia njiani wengine tukajunjana na kubwagana kwa sababu mbalimbali naomba tuishie hapahapa naanza mwaka mpya na maisha mapya wale mliochukia naomba mfute roho ya kishetani wanawake ni wengi wamejaa tena wazuri kuliko Demiss nendeni mkajipoze nao roho.
Teh teh mimi nimependa hayo maneno niliyoyabold hapo juu.
hongera pia.
Waoooh mpaka nimetokwa na machozii siyo kwa ujumbe huu mwananaHappy Birthday Demiss, siku yako hii ya kuzaliwa iwe baraka kwako na kwa wapendwa wako pia. Iwe siku ya kuzaliwa upya iliyojaa matumaini mapya ya kutimiza ndoto na matarajio yako katika maisha, mabaya yakuepuke na nuru ya uzima ikuangazie
Yeeeaaap!Asantee rafikiii