Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante mwanetuLomoni ni muhimu kwa ma laigwanan.
Heri ya siku ya kuzaliwa.
Njoo na funguo ukija unanikabidhi then ndio natoa nambaNakuja PM aisee.
Shida ashasema funguo za ile gari azikute kwako. Kiubishi ubishi itabidi nikae hapo hadi anapokuja kuchukua vogi yake☺️😂
🤣🤣🤣🤣🤣 THE ONE AND ONLYHappy bday rafiki yangu kipenzi🎂
I wish you all the best life can offer 🥰
Nakupenda sana and you know that🥰
Na unapenda kudeka sana
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji182][emoji182][emoji182]Aimeeeen dogo
Barikiwa dearly [emoji8]
Hiyo sentensi ya kwanza inabidi kubold 😂😂🤣🤣🤣🤣🤣 THE ONE AND ONLY
I love you today and tomorrow
🤣🤣🤣🥂Na unapenda kudeka sana
Ndio nafatilia hapa nikikamilisha takwambia jirani.
Hujambo jirani..Hiyo sentensi ya kwanza inabidi kubold 😂😂
I know toooooo much, huna budi kubaki na mimi hadi mwisho🤣🤣
Sawasawa jiraniNdio nafatilia hapa nikikamilisha takwambia jirani.
Sema nimepungukiwa hela ya keki, fanya namna jirani
I hate that childish[emoji8][emoji8][emoji8][emoji182][emoji182][emoji182]
Enxxxieeeh, ningekua karibu maji yange kuhusu.
Nakupa PM jiranii
Sawa jiraniNakupa PM jiranii
Bold mwenyewe bwanaHiyo sentensi ya kwanza inabidi kubold 😂😂
I know toooooo much, huna budi kubaki na mimi hadi mwisho🤣🤣
Me niko poa jirani na leo nina furaha bestie angu kabarikiwa mwaka mwingine mpya.Hujambo jirani..
Sawasawa jirani
Unajifanya uko busyBold mwenyewe bwana
Me sina muda
🤣🤣🤣 jishaueeee
🙏 Asante sana jirani..Me niko poa jirani na leo nina furaha bestie angu kabarikiwa mwaka mwingine mpya.
It's a beautiful day 🥰
Jirani ndio maana nakupendaga, hunaga mbambamba