Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🥰Thanks much Chalii angu
Ww ni mwema sana
Nakukunda 💜💜
#Tutafanikisha 😂😂😂😂🥂
Nionyeshe basi hizo dimples zake.Ana dimples nzuri hizooooo
mwenyekiti nakusalimiaNinaye rafiki hapa jamvini ambaye sijawahi kuonana naye wala kusikia sauti yake lakini tunawasiliana kupitia PM.
Ninamtakia heri ya kumbukizi ya siku yake ya kuzaliwa. Naamini kwa wema wa Mungu ipo siku ataachia namba niweze kumuendea hewani.
Happy Birthday Depal , ishi maisha marefu yenye afya na furaha tele.
Me najuaga dimples za mashavuni tu, kumbe kuna hadi za kwenye wezere?Nionyeshe basi hizo dimples zake.
Za mashavuni au za makalioni?
Chawa 🤣🤣Ana dimples nzuri hizooooo
Awaonyeshe 😎 ila acrop mpk acrop tenaa
Pro maxxxxx 🤣🤣🤣🤣Chawa 🤣🤣
Thank u 911,, nimekaa pale nasubiri cake.Kila la kheri yake kwenye siku yake ya kuzaliwa...
🤣🤣 kazi nzuri chawaPro maxxxxx 🤣🤣🤣🤣
Hao mawakala wajanja-wajanja sana siwataki 😂😂😂😂 Lenie ako na namba tu ya wakala
Sasa kwanini machafu jamani 😂😂😂😂Nimeshandaaa maji machafu ya kutosha. Uko wapi? BirthDay Girl
Wakala wetu ni certifiedHao mawakala wajanja-wajanja sana siwataki 😂
Sasa mbona kama wewe ndio mjanjaHao mawakala wajanja-wajanja sana siwataki 😂
Basi nipeni hata sanduku la posta la Depal nitume post card na noti mbili tatuWakala wetu ni certified