Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo, hongeraKumbee [emoji23] ...
Asante
muhimu kama una hizo hela za kuchezea..... ni hatua ujueHivi siku ya kuzaliwa ni muhimu kusherehekea?
Happy birthday DonatilaNina maswali kidogo...
Hivi siku ya kuzaliwa ni muhimu kusherehekea?
Hbd mttoto wa watu mla vya watu Mungu azidi kukuongozaHabari wakuu
Leo ni siku yangu ya kuzaliwa...
Namshukuru Mungu kwa mwaka mwingine...
Nina maswali kidogo...
Hivi siku ya kuzaliwa ni muhimu kusherehekea?
Na kama ni muhimu kwanini?
Outing sounds good, ka-function kokote kale sio lazima iwe party siku iwe ya tofauti kidogo, isipite hivihivi. Hata kwenda kushangaa meli airport mbona swafi tu.Mi sio mpenzi...
Labda Kutoka tu Kula...ila sio sherehe
Maisha marefu mkuuHabari wakuu
Leo ni siku yangu ya kuzaliwa...
Namshukuru Mungu kwa mwaka mwingine...
Nina maswali kidogo...
Hivi siku ya kuzaliwa ni muhimu kusherehekea?
Na kama ni muhimu kwanini?
Muhimu sana kusherekea, maana ni siku ambayo pia malango ya rohoni hufungukwa kwa ajiri yako ( yanayo husika na wewe ).. kama vile siku unazaliwa kuna portal hufunguka .. ilo lango kila siku yako ya kuzaliwa huwa wazi pia... tualike basi mwanaHabari wakuu
Leo ni siku yangu ya kuzaliwa...
Namshukuru Mungu kwa mwaka mwingine...
Nina maswali kidogo...
Hivi siku ya kuzaliwa ni muhimu kusherehekea?
Na kama ni muhimu kwanini?
na wewe team july??Happy birthday team julai🎉🎉🔥🔥....kusherekea muhimu sana my dear 😊
mhn! napata tabu kidogo nina Donatila mwingine ambaye bday yake kesho au ndo wewe?Habari wakuu
Leo ni siku yangu ya kuzaliwa...
Namshukuru Mungu kwa mwaka mwingine...
Nina maswali kidogo...
Hivi siku ya kuzaliwa ni muhimu kusherehekea?
Na kama ni muhimu kwanini?