trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 744
Huenda ni coincidence tu..Mwezi wa birthday ndo mwezi wa kumbukumbu za marehemu wapenzi wake....majizzo mjanja kaiwahi April katoka nduki
R.i.p kanumba na seki
Kwahiyo hawaja achana?Huenda ni coincidence tu..
Ukivaa viatu vya Lulu hata wewe utaona ni wakati mgumu kiasi alipitia.
Halafu,yaani hata hivyo,mahusiano yake na Majizzo yako palepale... Kaka kapenda,na binti kapenda.
Yes,wako pamoja. Seriously, wako..na inasemekana hawajui aliyeanzisha Ile story ya hirizi ni Nani..Kwahiyo hawaja achana?
Hivi ni kweli huyu demu ana pepo la kulostisha/kuua wanaume? Tafadhali naomba ushauri wenu maana kuna jamaa ana pesa ananisumbua sana na nimemchoka nataka nimsakizie kwa huyu mtoto.
Kwahiyo unataka kumsakizia mwenzio balaa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji31][emoji31]