Happy birthday Emmanuel Okwi

Happy birthday Emmanuel Okwi

Okwi mchezaji wa kawaida tu angekuwa mkali angecheza Ulaya timu kubwa
 
simba hatukuhitaji kujua miaka yake tulihitaji kuvuna na kukitumia kipaji chake!! haruna niyonzima alipokuja simba mlisema mzee kama msemavyo kwa okwi leo hii karudi kwenu majirani mnamuona kijana fundi wa mpira.... hongera mwamba OKWIII kwa kutimiza mika 27 mungu akuzidishie daima.
 
ngasa katepeta hata 10KPH hawezi kimbia kashekuwa kibabu lkn watani mnakianika juani jioni mnakirudisha uwanjani mnaendelea kukitumia japo hakina manufaa yoyote zaidi ya kubeba mikoba ya ndumba za yanga
 
simba hatukuhitaji kujua miaka yake tulihitaji kuvuna na kukitumia kipaji chake!! haruna niyonzima alipokuja simba mlisema mzee kama msemavyo kwa okwi leo hii karudi kwenu majirani mnamuona kijana fundi wa mpira.... hongera mwamba OKWIII kwa kutimiza mika 27 mungu akuzidishie daima.

Okwi yupo 30's! Hiyo miaka 27 ni ile tu ya kwenye pass yake ya kusafiria.
 
Back
Top Bottom