Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu huyo msanii kafanya kazi gani hao runduno nawajua walikuja namatamasha kiingilio buku watu hawaend machizi wanaendelea kuonesha sapoti mtaani kuwa jamaa wanajuaHiphop haifanywi kwenye media ..ndo maana wasanii kama Nash mc, chindo, Songa, One, Chaba na kadhalika huwezi sikia kazi zao kwenye media (hasa za kibongo) tofauti na akina fid q, joh makin darasa na kadhalika. Hashimu Dogo amefanya kazi nyingi sana ata fid q analiambua hilo.
Waeleze watambue. Hip hop is born and rise in ArushaKwa Tanzania HIPHOP ilizaliwa Arusha siku nyiiingi na kina Chindo Man, JCB, Spark (Watengwa kwa ujumla) kisha X-plasters Wakati wa akina KZB na Rap za Mr. II
Inashangaza sana mnayoyazungumza enyi vijana wadogo mliosikiliza HipHop za kuanzia miaka ya 2000's.
Yap wanajua sana ..ndo maana kuna watu tuna/ wanawaelewa vizuri sana. Tatizo la bongo mziki upo kwenye media zaidd, media ndo zna haribu mziki hasa hiphop.mkuu huyo msanii kafanya kazi gani hao runduno nawajua walikuja namatamasha kiingilio buku watu hawaend machizi wanaendelea kuonesha sapoti mtaani kuwa jamaa wanajua