Happy Birthday Geniveros

Nilikuwa nakosa raha sana aisee, lakini wakati ule mchezo ulikuwa bomba sana maana hata timu mbofu mbofu (isomeke mbovu) siku zinacheza na Michael Jordan and Da Bulls walikuwa wanaoania sana kushinda kwa kujua fika jamaa kwa jinsi alivyokuwa mshindani alikuwa hapendi kufungwa na timu yoyote ile. Siku hizi ni midabwada tu mvuto si kivile tena.

[emoji2] [emoji2] [emoji2] mi nkajua mpk leoo...!!
kumbe we ni team michael jordan...ile wakifungwa unaumwaa[emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
kina curry hawajui...?[emoji2] [emoji2] [emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…