GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #61
Happy Birthday Mkuu, Mungu akujalie maisha marefu na mazuri mbeleni.
Hata hivyo nasubiri ahadi yako uliyotoa siku ya Kuzaliwa ya Nifah kuwa utaacha upashkuna, kujidai, kujisikia na utakuwa GENTAMYCINE mpya kabisa mwenye kuleta nyuzi na comments zenye kujenga na kuburudisha.
Hapo kwenye kusema au kuahidi kuwa nitaacha ' kujisikia ' sikumbuki kama nilisema hata hivyo kwakuwa unaoenekana hilo linakukera naomba tu nami niyanukuu maneno ya Mheshimiwa Rais wetu JPM kwa kusema kuwa " GENTAMYCINE sipendi kushinikizwa kufanya jambo humu kwanza isitoshe hakuna kati yenu aliyenisaidia Mimi GENTAMYCINE kujisajili na kuwa Member wa Kutukuka humu JF miaka mitatu iliyopita ". Huko ' Kujisikia ' Kwangu ningeacha ila kwakuwa umekuwa na ' Kiherehere ' sasa nasitisha huo mpango na sasa ndiyo nitakuwa najisikia hadi Mnune kutoka Tegeta hadi Mbagala.