Happy Birthday GENTAMYCINE

Happy Birthday GENTAMYCINE

Happy birthday

Pokea zawadi kutoka sizonje.




Umesikia Ney ameachiwa???

Thanks Mkuu. Kuachiwa kwa Ney nimesikia ila nadhani ningefurahi na kuiamini zaidi hii Serikali kama muda wowote kuanzia sasa nitaona au kusikia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Ndugu Paul Christian Makonda ameondolewa madarakani na awapishe ambao wanastahili kushika huo Wadhifa.
 
Nimefurahi mno kufikisha umri wangu huu leo hii na hakika nina furaha sana na kikubwa naomba tupendane na kwa pamoja tuliendeshe gurudumu hili la JF kwa manufaa zaidi ili tuweze kuijenga Tanzania yetu ili Watoto wetu na Wajukuu zetu waje kutukumbuka kwa mema na kuyafurahia matunda ya hii nchi nzuri na iliyobarikiwa mno na Mwenyezi Mungu.

Amen / Inshaallah.
Heri ya siku ya kuzaliwa Komredi.
 
Back
Top Bottom