Happy Birthday Hajar

Namimi niitikie dua ya kumtakia heri ya siku yake ya kuzaliwa japo kwa kuchelewa , Aamin
 
Hahahaaa. Lol. Jamaani Sesten duuh [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Ni baraka hizo na upendo wala usishangae Hajar, inaonyesha jinsi gani ilivyo thamani yako, namna gani unavyokubalika na wengi, sifa ziwaendee wazazi na walezi wako....niungane na wengine kukutakia maisha marefu katika afya njema na furaha tele
 
kwa ushemeji umechelewa tyr labda uunge udugu Mjina mrefu tukupeleke T.A
Hebu nikuulize swali Ukhuty, kwa malezi mazuri mliyopewa na wazazi wenu hapo nyumbani wewe na Mwifwa si mnapokea barua za posa za Hajar kila siku hadi mnachoka? Sasa bado tu hajafanya maamuzi watu waje kula ubwabwa?
 
Nilishangaa na mie kulikoni sikukuona. Ila kwa kuwa umekuja japo ni kwa kuchelewa ila nashukuru kwa yote.

Ahsante sana. Ubarikiwe .

[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Kuna swali langu moja umelikimbia nimemsukumia nduguyo Ukhuty nasubiri jibu lake sijui na yeye atakataa kunijibu!
 
Mungu mwenye enzi akuongezee wingi wa siku zenye afya njema,, akuzidishie miaka na maisha marefu, uwaone wana na wana wa wana wa wana wako.

Happy birthday, Hajar!

Vv
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…