Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Khaaaaaaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]haha shughul tumeikabizi kwa mndali keki huli kabisa
Kwa hiyo memniamulia eeehh...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khaaaaaaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]haha shughul tumeikabizi kwa mndali keki huli kabisa
yaan wewe ndo mpango mzima[emoji467] [emoji467] [emoji467] [emoji467] ndio naenda kucheki mahali pakufanyia shughuli kama pamepambwa ipasavyo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahaaa. Lol.
Wataka ile ya kina Wema yaani kila siku ana 26 haongezeki.
nina kila sababu ya kukuudh leoKhaaaaaaaaa
Kwa hiyo memniamulia eeehh...
Sawa ila kumbuka unavyo omba mungu akupe uzima na afya tele ndivyo unavyo kimbilia uzeeakaa mie sitaki dawa
Atakuja mwenyewe tu atakaponusa harufu ya kekikamchukue mwenzio ana shida hayupo vizur mtoto wew kwa kula
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahaaa. Lol.
Wataka ile ya kina Wema yaani kila siku ana 26 haongezeki.
hahah uzee hapana jiraniSawa ila kumbuka unavyo omba mungu akupe uzima na afya tele ndivyo unavyo kimbilia uzee
Singiii ndani maanautanifungia[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hahaa wallah takufungia chumbani wew mtot
Nipo kuhakikisha shughuli haiharibiwi na hawa mnawaita......yaan wewe ndo mpango mzima
hawezi kuja kampe nguvu wallah kula kutakuua hajar mdogo wako kanishinda huku[emoji119][emoji119][emoji119]Atakuja mwenyewe tu atakaponusa harufu ya keki
mie hapana dada
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umeotea yaaniSingiii ndani maanautanifungia[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
nakuamini jiraniNipo kuhakikisha shughuli haiharibiwi na hawa mnawaita......
Nina kila sababu ya kuwakomoa na kujihami kwa leonina kila sababu ya kukuudh leo
[emoji122] [emoji122] [emoji122]
Jirani sekunde ya kwanza kuwepo duniani mapaka sekunde uliyopo sasa inakupa mwelekeo sahihi wapi unaendahahah uzee hapana jirani
waoooooh mefurahi kukuona mdogo wangu kila nilivyomtuma mwifwa akufate kagoma kisa atamaliziwa kekiHeri ya siku yako ya kuzaliwa rafiki yangu kipenzi Hajar . Mungu azidi kukujaalia afya njema, hekima, busara, subira na malengo yako yawe yanatimia tu.....
[emoji512]Happy BirthDay[emoji512]
[emoji9][emoji9]...