Happy birthday Hayati Dkt. Magufuli

Happy birthday Hayati Dkt. Magufuli

Vincenzo Jr

Platinum Member
Joined
Sep 23, 2020
Posts
24,262
Reaction score
58,728
Kheri ya siku ya mfanano wa Kuzaliwa Kwako , Comrade Hayati Dkt JOHN POMBE MAGUFULI.

Uli wanyoosha sana chawa wa ccm
20231029_094508.jpg
 
Kama sio Leo basi ni kesho, Hayati Magufuli hatokuwa jina la mtu tu bali neno lenye maana kamili kwenye Kamusi. Niliwahi kusema Magufuli ndio atakuwa mgombea 2025 na atashinda hata kama hayupo, na yeyote atakayetaja jina la Magufuli kwenye kampeni zake atashinda Kwa kishindo iwe ni Upinzani au CCM. Happy Birthday Mr. President
 
Kama sio Leo basi ni kesho, Hayati Magufuli hatokuwa jina la mtu tu bali neno lenye maana kamili kwenye Kamusi. Niliwahi kusema Magufuli ndio atakuwa mgombea 2025 na atashinda hata kama hayupo, na yeyote atakayetaja jina la Magufuli kwenye kampeni zake atashinda Kwa kishindo iwe ni Upinzani au CCM. Happy Birthday Mr. President
Hakika yeye ni kama maji, huyanywi utayaoga na yatakusafisha na utakate
 
Muimbieni happy birthday shujaa wenu bana mbona mnamsahau mapema sana hivi?

===

20231029_113528.jpg


October 29, 1959: John Magufuli was born in Chato. He was a chemistry and maths teacher before joining politics. In 1995, he was elected Member of Parliament and later became a cabinet minister and President of Tanzania in 2015.

A leader with a steely resolve, the unyielding and outspoken Magufuli was loved and loathed in equal measure

He died in office from a heart illness on March 17, 2021

Tanzania Business Insight
 
Back
Top Bottom