Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Kheri ya siku ya mfanano wa Kuzaliwa Kwako , Comrade Hayati Dkt JOHN POMBE MAGUFULI.
Uli wanyoosha sana chawa wa ccm
Uli wanyoosha sana chawa wa ccm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HB AND REST IN PEACE HAYATI MAGUFULIKheri ya siku ya mfanano wa Kuzaliwa Kwako , Comrade Hayati Dkt JOHN POMBE MAGUFULI.
Uli wanyoosha sana chawa wa ccm
View attachment 2796513
MwambaaKheri ya siku ya mfanano wa Kuzaliwa Kwako , Comrade Hayati Dkt JOHN POMBE MAGUFULI.
Uli wanyoosha sana chawa wa ccm
View attachment 2796513
Kwakweli !!Kheri ya siku ya mfanano wa Kuzaliwa Kwako , Comrade Hayati Dkt JOHN POMBE MAGUFULI.
Uli wanyoosha sana chawa wa ccm
View attachment 2796513
Shida ya kuvuta ugoro ukubwani...kwahiyo leo katimiza miaka mingapiKheri ya siku ya mfanano wa Kuzaliwa Kwako , Comrade Hayati Dkt JOHN POMBE MAGUFULI.
Uli wanyoosha sana chawa wa ccm
View attachment 2796513
KafaShida ya kuvuta ugoro ukubwani...kwahiyo leo katimiza miaka mingapi
Pumzika Kwa Amani Comrade John Pombe Joseph Magufuli
Mzilankende Mnyago
Jiwe, Ngosha Chapa Ng'ombe, Chuma, Nawa~Zoom
Mwendo Umeumaliza,Uyango
MuyangoPumzika Kwa Amani Comrade John Pombe Joseph Magufuli
Mzilankende Mnyago
Jiwe, Ngosha Chapa Ng'ombe, Chuma, Nawa~Zoom
Mwendo Umeumaliza,
64Shida ya kuvuta ugoro ukubwani...kwahiyo leo katimiza miaka mingapi
Hakika yeye ni kama maji, huyanywi utayaoga na yatakusafisha na utakateKama sio Leo basi ni kesho, Hayati Magufuli hatokuwa jina la mtu tu bali neno lenye maana kamili kwenye Kamusi. Niliwahi kusema Magufuli ndio atakuwa mgombea 2025 na atashinda hata kama hayupo, na yeyote atakayetaja jina la Magufuli kwenye kampeni zake atashinda Kwa kishindo iwe ni Upinzani au CCM. Happy Birthday Mr. President