Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
Yangu kuanzia tarh 20 ntakunong'oneza...sio mbaya tutakula gambe kwenye yanguYako lini shem darling?? Sipo dasilamu yani leo zingenyweka balaa ila sio mbayaa tutaziunga tu mbeleni
Usipopata wewe lazima uwe boredAmina wiwo wangu,ntakuja jioni kuwasalimu maana leo niko bored kinoma noma
Daaah,na hivi umenambia hauko daslama ndio nadata kabisaaa chalii anguuUsipopata wewe lazima uwe bored
Sio chakula kile[emoji23] [emoji23]
Ewaaa,maneno ya busara sana haya mzee mwenzanguYangu kuanzia tarh 20 ntakunong'oneza...sio mbaya tutakula gambe kwenye yangu
[emoji7] [emoji8]wewe.
Cheers[emoji482][emoji482]Ewaaa,maneno ya busara sana haya mzee mwenzangu
nimelisahau nikumbushe.[emoji7] [emoji8]
Kuna swali nilikuuliza haukunijibu ujue!!!
Sawa wii karibu mno...tukuandalie nini kipenzi?Amina wiwo wangu,ntakuja jioni kuwasalimu maana leo niko bored kinoma noma
Juice ya parachichi na ndizi mzuzu tuu Wii wangu,.Sawa wii karibu mno...tukuandalie nini kipenzi?
Ila yote tisa...lini tunakata keki maana twin kanambia hauko kwa mji...sasa ukisharudi LINI TUNAKULA KEKI?Ewaaaa karibu shem..hahah kumbe ya kwenu yanakuaga ya barid,yakwetu yanakuaga ya moto moto [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wkend ya mwisho wa mwez huuIla yote tisa...lini tunakata keki maana twin kanambia hauko kwa mji...sasa ukisharudi LINI TUNAKULA KEKI?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shem wewe...embu niachie wifi yako banaUsipopata wewe lazima uwe bored
Sio chakula kile[emoji23] [emoji23]
Haaa unatafuta churaa eehJuice ya parachichi na ndizi mzuzu tuu Wii wangu,.
Hhahhaa chura nlopewa siku ile na shogaangu Shunie kasha expire,. Natafuta kwanguvu sasa chura mwingineHaaa unatafuta churaa eeh
Mie maji tuu, au kama kuna fresh juice itapendeza zaidiWewe sumu yako ni ipi? Au Heineken kama wenzio
Hivi na wewe utafunguliwa thread lini humu?ππHappy birthday mkuu
Hili swali limeniumiza sana!Hivi na wewe utafunguliwa thread lini humu?ππ
Nami nimelisahau.nimelisahau nikumbushe.
Ivyo tu wii!! Hata usitie shaka mkeo nishaviandaa..ila kaka ako bado yuko kukutengenezea juice pendwa dada akeJuice ya parachichi na ndizi mzuzu tuu Wii wangu,.
Aaawwh!! Jamani ni hivi sijala cake za bdei kitamboo..acha niandae kitambi changu mieWkend ya mwisho wa mwez huu