D
Deleted member 485868
Guest
Hahah..umemjibu kinyongeHili swali limeniumiza sana!
Koh koh koh!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahah..umemjibu kinyongeHili swali limeniumiza sana!
Koh koh koh!!
Aahh,MashAllah.. Nikapendwe wapi tena mumu mimi..wifi ahsante yaani siji tena jioni naona vitapoa,sasahiv najiweka kwa njia najaIvyo tu wii!! Hata usitie shaka mkeo nishaviandaa..ila kaka ako bado yuko kukutengenezea juice pendwa dada akeView attachment 792183View attachment 792184
[emoji1] [emoji1]Hahah..umemjibu kinyonge
Salamu zimefika, tuvute subira atakuja
Ahsante kwa kushukuru wii ake....haya ufanye ukuje kwa haraka wifi maana tulikumis hatariAahh,MashAllah.. Nikapendwe wapi tena mumu mimi..wifi ahsante yaani siji tena jioni naona vitapoa,sasahiv najiweka kwa njia naja
Kwakweli[emoji1] [emoji1]
Swali lenyewe lililenga kunifanya mnyonge
Hahaaa. Fanya mpangoHili swali limeniumiza sana!
Koh koh koh!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwakweli
Haya sijakuuliza mimi ila niko kusubiri jibu
Hahaaa inawezekana swali langu likakufunguliw milango ya thread[emoji1] [emoji1]
Swali lenyewe lililenga kunifanya mnyonge
Hahaha! Kila nikifanya inagomaHahaaa. Fanya mpango
Duuuu.Hahaha! Kila nikifanya inagoma
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sawa mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hebu tumuachie Mungu yna
Pole sanaHahaha! Kila nikifanya inagoma
Namwachia Mungu tuu sasaDuuuu.
Najua uko maswekeni ulipo hakuna cake..haya shem wako nimeamua kukusaidia...sasa sijui chaguo lako ni lipi apoWkend ya mwisho wa mwez huu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Pole sana
Kama tu ningekua single[emoji23][emoji23]
HahahahaMbona longii tu...ngoma hata saa nane usiku nikijeuka ninae [emoji23] [emoji23]
Nimependa mtiririko wako.Kwanza kabla ya yote namshukuru Mungu,mama mkwe,na baba mkwe kwa kufanikisha wewe kuja duniani,naamini ulikuja kwa ajili yangu.Wewe ndo umekuwa siri yangu,wewe ndo kila kitu kwangu..najua nimewahi kukukosea lakini ninachojua hata wakati nakukosea bado ulikua mwanaume ninaekupenda,hakuna aliewahi kuzidi thamani yako,na nakuambia HATOTOKEA.
Vingine ni ubinadam tu lakin haina maana kuwa kuna m-bora zaidi yako,huenda katika ubinadamu huo huo mwingine angeshindwa na kunikatia tamaa,endelea kuniombea na kunielekeza pale ninapokosea.
Heri ya siku ya mfanano wa kuzaliwa kipenzi changu
Nakupenda sana mume wangu