Jolie Jolie
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 7,406
- 13,806
- Thread starter
- #61
Akijibu unitag[emoji23]sasa wewe unacheka nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akijibu unitag[emoji23]sasa wewe unacheka nini?
Asante kwa niaba ya mwanajangwani mwenzio,poleni sana kwa ukata unaowakumbaHappy birthday mwanajangwani mwenzangu ukue ukimpendeza mungu wako!
wacha kabisa shooNtu na Ntu ake.
Happy birthday [emoji323]
Shem yako sijui yupo wapi naona hajitokeziHappy birthday shem lake..Mungu wetu akutunze
tnxHbd to him the only one for you
[emoji8]wacha kabisa shoo
Asante kwa niaba yake
Sasa nawewe si uende umuamshe uko....ebu muite aje banaShem yako sijui yupo wapi naona hajitokezi
Bado anabisha jamn?hahhahahahah Jolie Jolie njoo mwaya umkate kilimi iceman
[emoji23] [emoji23]Qubabeq
asante kwa niaba yaHappybday hazard fc
Naona hajitokezi atakua anatick mikeka[emoji23] [emoji23]Happy birthday handsome Hazard muzeeee ya kubet
bembeleza ndoa haya mengine potezea kwa sasa.....full stopKwanza kabla ya yote namshukuru Mungu,mama mkwe,na baba mkwe kwa kufanikisha wewe kuja duniani,naamini ulikuja kwa ajili.Wewe ndo umekuwa siri yangu,wewe ndo kila kitu kwangu..najua nimewahi kukukosea lakini ninachojua hata wakati nakukosea bado ulikua mwanaume ninaekupenda,hakuna aliewahi kuzidi thamani yako,na nakuambia HATOTOKEA.
Vingine ni ubinadam tu lakin haina maana kuwa kuna mbora zaidi yako,huenda katika ubinadamu huo huo mwingine angeshindwa na kunikatia tamaa,endelea kuniombea na kunielekeza pale ninapokosea.
Heri ya siku ya mfanano wa kuzaliwa kipenzi changu
Nakupenda sana mume wangu
[emoji8]
bembeleza ndoa haya mengine potezea kwa sasa.....full stop
Naona hajitokezi atakua anatick mikeka[emoji23] [emoji23]Happy birthday handsome Hazard muzeeee ya kubet
muda wa chai huuHater