Happy birthday Hazard fc

Zesh

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2017
Posts
15,395
Reaction score
25,049
Heri ya siku yako ya kuzaliwa rafiki.....
Mungu akupe hitaji la moyo wako na akupe maisha marefu zaidi.... Sijutii kukufahamu umekua rafiki, na mshauri mwema kwangu...... Nakuombea siku zote uwe mwenye kupata baraka za Mungu zaidi na zaidi

Enjoy your day chapombe hahahahahahahah[emoji3][emoji3][emoji3]
Happy birthday [emoji512][emoji486][emoji482]
 
Asante mwanachama mwenzangu wa yanga na ccm kindakindaki[emoji1787][emoji1787]

nilikua nishaisahau kabisa hii siku, asante kwa kunikumbusha nakuikumbuka pia,mimi nipo bize nasaula wachezaji huku rwanda na burundi [emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…