Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Wewe nawe, ki front front yote ile mi nikajua ndo mkamua maziwa, kumbe ni mshika pembe, naona muli edit hadi mka delete kabisa๐๐๐๐kaaazi kweli kweli.
cc joanah
hahaha unaogopa liaOhoooo siangalii
Hahaha ila kushusha kreti ruksa sio hahahaHakuna ubaya kama ukisherheshwa kuliko kujisherhesha, na ninakuhisi tu usikubali kukata keki na kuwalisha wanaume wenzio....teh
Na kutafuta sana kule;
Na kutafuta sana kule;
Pamoja mkuuMungu akupe maisha marefu na yenye baraka shahazadi hazard cfc
Safiii una edit tuNtaigilizia huu wa zesh
Nimebaki mdomo waziShahazadi tena
He is so emotional, msamehe.
Anasoma sana between the lines, halafu lines zenyewe watu wamezitwist.
Atapigwa faini huyoAlooo katuangusha
Wewe toka uache au kupunguza mambo yetu umebadilika sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Nina stress bby ndo maana nikasahau
Kwenye Uzi wetu wa ahadi.Wapi?
Msamehe pia
Naona kama umekuwa offended
Ni joke tu hizi, naijua vyema jf๐๐๐๐๐Usiwe mgeni wa JF mkuu, siyo kila unachokisoma unakichukua kilivyo.
Umenishangaza.
Sorry kama umekuwa disappointed,Usiwe mgeni wa JF mkuu, siyo kila unachokisoma unakichukua kilivyo.
Umenishangaza.
Roho ikikata mwili hauna faida lakini..Roho yako ni mali yako mwenyewe, mwili wako ndio wangu
He is so emotional, msamehe.
Anasoma sana between the lines, halafu lines zenyewe watu wamezitwist.
Anawatishaa?Na ile minjino??? Atazeeka bila kuanzishiwa uzi