feysher
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 2,656
- 2,771
Happy birthday mshauri wa zeshchriss
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tumeacha mzungu amekuwa na roho mbaya hakuna mfano
Ni joke tu hizi, naijua vyema jf😂😂😂😂😂
Anawatishaa?
Asantee mamiii...umepotea sana siku hizi
Asante mamiii...za siku nyingii?Happy birthday to you rafiki yake zesh, Mungu akutunze
Siko hivyo, no need of competition in jf. sina huo mda, tunakutana jf. tunaachana jf. sio ladies hata gentles sijawaza hata mmoja kukutana nae mtaani kwa mishe yoyote.Okay, I can only advise to believe in yourself.
Usiogope competitors, tafuta mbinu ya kudeal nao in your own way bila kuwaonesha kwamba unashindana nao.
Hahahaha asante mkuuHappy birthday mshauri wa zeshchriss
Inawezekana pia[emoji23]hivi inakuwaje watu wanajua birthday za wenzao? au ni double id??
Bless!Inawezekana pia[emoji23]
Siko hivyo, no need of competition in jf. sina huo mda, tunakutana jf. tunaachana jf. sio ladies hata gentles sijawaza hata mmoja kukutana nae mtaani kwa mishe yoyote.
Mungu anasaidia aki!Asante mamiii...za siku nyingii?
Hahaha hapana yanga tu ndio inanichanganya...Mungu anasaidia aki!
Umefichika sana
Wewe toka uache au kupunguza mambo yetu umebadilika sana
Fanya kama huwaoniHahaha hapana yanga tu ndio inanichanganya...
Mnyonge,mawazo,mpoleee...Nimeakuaje bby?
Mikia watatamba sana...hakika we wont back downFanya kama huwaoni
Hahahahaa..Mnyonge,mawazo,mpoleee...
Yan kusema kweli umemis sana babe mdogo pombe,mimi kama bebe mkubwa nimeona mabadiliko makubwa.
Nakujoin soon
Wengine kwenye profile zinaonesha, mfano mimi mtu ni rahisi tu kujua bday yanguhivi inakuwaje watu wanajua birthday za wenzao? au ni double id??