Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Tulia tuAsante sana, kwa hiyo unanishauri nitulie tu au siyo!
Hata ukinikuta kitandani na mwingine ni utani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia tuAsante sana, kwa hiyo unanishauri nitulie tu au siyo!
Tulia tu
Hata ukinikuta kitandani na mwingine ni utani
Hahahhhah Don Clericuzio unakua Bushoke sasa
Hahaha, Bushoke alitisha sana, analetewa mtoto mchina anaambiwa kafata kwa babu!
Nadhani sitafika huko.
Kule nje nitakuwa natumia naniliu
Siwezi kufanya hadi nikapata mtoto wa mwingine nje
!Hahahaha ndio ndioNajua PM huwezi kunijibu hivi[emoji28][emoji28][emoji28]
HahahahahHii post aione Mzigua90.
Hbd to you mkuu hazard uishi miaka mingi. Mi yangu nayo ni mwezi huu ila wakuniandikia sasa [emoji15][emoji15]
ApiaMie nilishakwambia you my only one
Haji kuwepo kama wewe...hawa wengine nawatania tu
Hii comment tu ushanisifia tayari basi nimevimba mbichwa huuuuo usifanye nikaanza kuringa!!![emoji23][emoji23]inaonekana hazard cfc ni mpenzi mtazamaji tuu.
kapeace yako ipo lini nije nikufungulie uzi nisifie uzuri wako toka utosini hadi unyayoni na kuutukuza uumbaji wa mwenyezi mungu.
Haaaaa iyo ndiwoooNdiwooo
Hahahah mkuu tunakodisha id za kukuwish..maelezo zaid piemu hahaah
MubasharaaaMie nilishakwambia you my only one
Haji kuwepo kama wewe...hawa wengine nawatania tu