Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 13,998
- 31,757
kumbe sasa hapo mwanzo ulicoment nn kama hukuumizwa?siwezi kuumizwa na shobo za wauza sura mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbe sasa hapo mwanzo ulicoment nn kama hukuumizwa?siwezi kuumizwa na shobo za wauza sura mkuu
Chocolate milk Hazard.Thanks paula..... unakunywaga nini wew niandae kabisa ndio nafanya manunuzi hapa
UmepataaChocolate milk Hazard.
Thank you.
Wacha bwana!! Nikajua umeacha pombe kumbe hayo tu[emoji134]Nimefukuzwa kazi
Demu kaniacha
Nimetapeliwa
N.k
Nimeachaa mdogo wanguu....nakunywaga tu konyagi na k vant siku hizi, pombe sigusiHappy birthday bro.... Chapombe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo ndio mfariji pekee...maisha yafaa nini bila pombe??Wacha bwana!! Nikajua umeacha pombe kumbe hayo tu[emoji134]
Basi swaaa, faraja njema.Huyo ndio mfariji pekee...maisha yafaa nini bila pombe??
umetumia kipimo gani kupima hisia za moyo wangu ukagundua nimeumia? inamaana kila atakae kuwa kinyume na mawazo yenu basi mnachukulia kwamba kaumia?kumbe sasa hapo mwanzo ulicoment nn kama hukuumizwa?
Mbona kinyongee? Unataka niacheeBasi swaaa, faraja njema.
Sio kuwa uko kinyume ila nikujalibu kulazimisha ya kwako yawe ya watu wengneumetumia kipimo gani kupima hisia za moyo wangu ukagundua nimeumia? inamaana kila atakae kuwa kinyume na mawazo yenu basi mnachukulia kwamba kaumia?
Endelea tu.Mbona kinyongee? Unataka niachee
Daaaaaah....Endelea tu.
[emoji2211][emoji2211][emoji2211]Shukrani mkuu....leo inabidi nipate lenye chura
Hahahaha tengua kauliii lv.....kijana mnywajiiiiiHappy birthday kijana mlevi Hazard CFC
Hahahaha tengua kauliii lv.....kijana mnywajiiiii
Asantee sanaa na karibu sana pande hizi
mbona una hoja mufilisi sana wewe hazard? Wapi nimelazimisha watu kufuata nilichokisema?Sio kuwa uko kinyume ila nikujalibu kulazimisha ya kwako yawe ya watu wengne
Hatuna haja ya kutafuta kipimo ila tunatumia ulicho kiandika
Najisogeza tabataHahahah haya kijana mnywaji
Uko pande zipi nikitoka hapa nije
Hazard tena mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]mbona una hoja mufilisi sana wewe hazard? Wapi nimelazimisha watu kufuata nilichokisema?
Nitajisogeza hapo sio mudaNajisogeza tabata