Shaka haiondoki hadi umetuma.uongo. Hilo ondoa shaka
Basi nipe talaka yangu uoe mwingine, nishachoka mimi.sijakuacha Ila tegemea uke wenza maradufu tu
usichoke mimi na wewe kama utamu na pipiBasi nipe talaka yangu uoe mwingine, nishachoka mimi.
Ukimuona tu mshitue aje achukue mihogo ya chips hapa sokoni karibu na music library ya mapacha wa Soweto.Hahahaaaa, nitakuotea pale Sokoni paleeee!!!!Huwa nacheza draft nitakuona tu umetokea kanisani RC!!!!
Hunishindi mimi kwajinsi nulivokumissMiss you sister...
Khaaaah!! Nataka niuanze mwaka vizuri.usichoke mimi na wewe kama utamu na pipi
Huh!! Yaani katuchezea patapotea hivi hivi!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] ameoa wa tatu huyo mbona kwangu hayupo pia
Nimekopi kwa Miss ....Hmm....we Muree ni wewe kweli ndo umeandika hicho Kizungu au umekopi sehemu??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utaanza na mimi mwaka huuKhaaaah!! Nataka niuanze mwaka vizuri.
Na msimu wenyewe ni huu wa sikukuu[emoji23] [emoji23]Huh!! Yaani katuchezea patapotea hivi hivi!!!
Hahaha atakayewahi ndo huyo huyo lirooTuje wangapi?
Mweeh nakuombea upone, usiumwe tena. Ahsante kipenziHappy birthday kipenzi changu Heaven Sent
Nakupenda mpaka naumwa yaani Mungu akupe maisha marefu
Weraaa kumbe na me ni byurful[emoji125] [emoji125] [emoji125]Happy birthday Little Angel, May your new year be as beautiful as you
Good luck on your way.....!!!
Oops thanks so much darling. You are not late dearOoh my dear HS, sorry for being late but may health and wealth always be your friends, may good luck and fortune always be by your side, may success and goodwill always be at your beck and call.
Wishing you a very Happy Birthday mamie....
Haha haya niotee tuHahahaaaa, nitakuotea pale Sokoni paleeee!!!!Huwa nacheza draft nitakuona tu umetokea kanisani RC!!!!
Amen. Ahsante sana mremboHappy birthday mrembo!!! Mungu akupe kila lenye kheri chini ya jua!!!!
Haha ntakujaUkimuona tu mshitue aje achukue mihogo ya chips hapa sokoni karibu na music library ya mapacha wa Soweto.