Hahahaaaa!! Sio kwa kuruka viunzi huko!!Aliye kuwa amekumisimo sana ni espy,mimi nakumbuka mara ya mwisho tulikutana kulee tukiwa na BAK. Ngoda95 ametuhakikishia leo kuwa upo na umefungua darasa la ukungwi.Yaani eti wewe,amesema Ngoda95 kuwa wewe ni kungwi eti,mimi hata nilikuwa sijui... Nikashangaa tu...
Mie ndio nikawa najiandaa kuja darasani.Makubwa haya? Tangu lini??? Mi mwenyewe hapa nahitaji kungwi
Kile kikao cha kuwekwa mtu kati bado hakija nitoka kichwaniHahahaaaa!! Sio kwa kuruka viunzi huko!!
Hahahaaa we msingizie tu kaka yangu!!Ngoda alivyo mbishi sasa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Halafu shemeji kale kapicha umekapeleka wapi? Huyo wa mashineni simpendi kama nini
Rudi hapa utoe maelezo.[emoji125] [emoji125] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kile kikao cha kuwekwa mtu kati bado hakija nitoka kichwani
Rudi hapa utoe maelezo.
Dadaangu wee acha tu.Kuwekwa kati hata nyuma ya key board hali inakuwa mbaya hadi unatamani uipasue simu.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwahiyo unaogopa kuwekwa mtu kati?
Acheni masihara, mchaga mie na ukungwi wapi na wapi??Mie ndio nikawa najiandaa kuja darasani.
Kabla ya yote unayo kesi ya kujibu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mhh!!! Ukiona nyuki ni bishoo ujue ni wa mashineni... Hawezi kazi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Dadaangu wee acha tu.Kuwekwa kati hata nyuma ya key board hali inakuwa mbaya hadi unatamani uipasue simu.
Kuna mwandiko ukiuona hadi pua inatetemeka[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Niko tayari kupigwa fine ili case hiyo iishe salama.Kabla ya yote unayo kesi ya kujibu
Hakika demi sijawahi kumuona hata sehemu humu kafanya ukorofi.Timu yenu ni ya watu mnao jitambua sana.Naamini mtakuwa mpo zaidi ya hapa,Mungu aendelee kuwajenga kiimani na upendo zaidi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
demi hawezi kukuweka mtu kati bwana.
Hahahaaa!! Hebu usinibanie darasa tafadhali, niambie tu vya kuja navyo. Visosa na kigoda ninavyo.Acheni masihara, mchaga mie na ukungwi wapi na wapi??
Sie wapole sana.Hakika demi sijawahi kumuona hata sehemu humu kafanya ukorofi.Timu yenu ni ya watu mnao jitambua sana.Naamini mtakuwa mpo zaidi ya hapa,Mungu aendelee kuwajenga kiimani na upendo zaidi
Mi mzima. Haya lini nimekuwa kungwi?Niko tayari kupigwa fine ili case hiyo iishe salama.
Mambo?