Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,548
- 63,038
Hahahaa [emoji3][emoji3][emoji3]Shkamo
Naona umempa haki yake kwanza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaa [emoji3][emoji3][emoji3]Shkamo
Ati mie kipanya, aki Mungu anamuonaShangazi yako espy anakutafuta.
NdioHahahaa [emoji3][emoji3][emoji3]
Naona umpa haki yake kwanza.
Hebu muulize manake mimi nilishindwa kutia nenoAti mie kipanya, aki Mungu anamuona
Antie ukuje huku.... Kama mie ni panya ina maaana sie wote niiii....Hebu muulize manake mimi nilishindwa kutia neno
Tatizo ni vetengee! Na wewe useme vitenge vyake viko wapi [emoji3][emoji3]Antie ukuje huku.... Kama mie ni panya ina maaana sie wote niiii....
Cc auntie
Si ndo nimejifunga auTatizo ni vetengee! Na wewe useme vitenge vyake viko wapi [emoji3][emoji3]
Ujue imebidi leo nikanunue Wax mpya mbili za auntie..?Si ndo nimejifunga au
AsanteUjue imebidi leo nikanunue Wax mpya mbili za auntie..?
Yaani sikuwa na namna.
Aje tuu achukue..! Vikipotea tena atawaita tena panya.Asante
Na akuje achukue au nivivae
SawaAje tuu achukue..! Vikipotea tena atawaita tena panya.
Marahabaaa!!Shkamo
Eti kale kajamaa nilikokuona nako pale kichochoroni ukijing'atang'ata vidole ni nani?Autie
Nimekivaa auntieMarahabaaa!!
Eti mbona kitenge hakijanifikia!!!
Ni rafiki tuuEti kale kajamaa nilikokuona nako pale kichochoroni ukijing'atang'ata vidole ni nani?
Auntie mie sijasema hivyo ujue!! Nimesema eti ndani kwenu kuna panya wengi, besdei ijayo nawaletea zawadi ya sumu ya panya.Ati mie kipanya, aki Mungu anamuona
Hahahaaaa!! Haki hapa sina mtoto, ndio unataka kusema kuwa na mimi ni panya si ndio!!!Antie ukuje huku.... Kama mie ni panya ina maaana sie wote niiii....
Cc auntie
Kwahiyo vitenge vyangu ndio ukajifunga!!!!Si ndo nimejifunga au