Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Amen. Ahsante mpendwaLive long heaven sent
Yeyote tu anaruhusiwa mpenzi. Amen, nimepokeaSijui na mimi naruhusiwa kukuwish?
Heri ya kuzaliwa uliyetumwa kutoka mbinguni Bwana akuongoze kwa kila ukifanyacho
aisee we acha tu kweli nimekuwa adimu mambo yanaingiliana lakini usijali.Thanks dear. Kimya. ..
Kuna Katoto Kako Likizo kamensaidia bana we acha tu nmejikunja kwel kukipata hiki Kikristu.
I appreciate brah. Ndaga fijo[emoji87] [emoji87]Kuna Katoto Kako Likizo kamensaidia bana we acha tu nmejikunja kwel kukipata hiki Kikristu.
All in all your always Welcome my Chivu, as we have been always there for each other Dear.
Miamala unajua inapopatikana ila yale mambo ya Halotel siyatak.
Mimi nakumbuka nilitaka kujibebisha kwa mwanadada huyu wa kipekee wakati najiunga humu
Kuna uzi fulani hivi wa Kassim Mganga sikumbuki ulikuwa unaongelea nini ila tulikuwa tunaandika lyrics ya nyimbo zake
Kesho yake au siku tatu mbele kama sijakosea akaondokewa na Mzee wake (R.I.P) harakati zote zikaishia hapo
Sasa hivi kina Bonny wanabebika tu
Happy Birthday Heaven Sent Mungu aendelee kukutunza
Ni mimi crush wako Yamakagashi
Hahaha ntafanya tena ujueNakuangalia tu ngoja nikucrush na crush wako
Kumbe wewe ndiye baba wa KHa ha ha Mzee we acha tu ilibd nimtafute mtoto mmoja anasomaga hiz english medium tuanze kufanya drafting maana ukinambia niandike mwenyewe sa hv unantoa knock out
Acha tu mama mimi nishike mapembe wengine wakamue maziwaHahhaa hata wewe unaruhusiwa kubebika jamani. Thanks so so much crush wa mimi
Me nilijua ni story yenu wawili, kumbe na me inanihusu?Heaven Sent njoo ujibu hili
Thanks so much shemeji
Haha thanks once againAcha tu mama mimi nishike mapembe wengine wakamue maziwa
Nitaendelea na nafasi yangu ya kuwa crush sugu
Happy Birthday once again
Bae. ......Happy Bithday to someone's in the Class A Team.
Been this beauty and cool since sixthteen...