Happy Birthday Heaven Sent

Happy Birthday Heaven Sent

Haha chivu Bonny can't stop laughing, who wrote this for you maana nishazoea ukauzu wako.

Thanks for everything pal, especially for always keeping it real with me. I'll always remember this. ....

Hala hala, messages za M - Pesa ziongezeke tu [emoji125] [emoji125] [emoji125]

C.c espy
Kuna Katoto Kako Likizo kamensaidia bana we acha tu nmejikunja kwel kukipata hiki Kikristu.
All in all your always Welcome my Chivu, as we have been always there for each other Dear.
Miamala unajua inapopatikana ila yale mambo ya Halotel siyatak.
 
Mimi nakumbuka nilitaka kujibebisha kwa mwanadada huyu wa kipekee wakati najiunga humu

Kuna uzi fulani hivi wa Kassim Mganga sikumbuki ulikuwa unaongelea nini ila tulikuwa tunaandika lyrics ya nyimbo zake

Kesho yake au siku tatu mbele kama sijakosea akaondokewa na Mzee wake (R.I.P) harakati zote zikaishia hapo
Sasa hivi kina Bonny wanabebika tu

Happy Birthday Heaven Sent Mungu aendelee kukutunza


Ni mimi crush wako Yamakagashi
 
Mimi nakumbuka nilitaka kujibebisha kwa mwanadada huyu wa kipekee wakati najiunga humu

Kuna uzi fulani hivi wa Kassim Mganga sikumbuki ulikuwa unaongelea nini ila tulikuwa tunaandika lyrics ya nyimbo zake

Kesho yake au siku tatu mbele kama sijakosea akaondokewa na Mzee wake (R.I.P) harakati zote zikaishia hapo
Sasa hivi kina Bonny wanabebika tu

Happy Birthday Heaven Sent Mungu aendelee kukutunza


Ni mimi crush wako Yamakagashi

Hahhaa hata wewe unaruhusiwa kubebika jamani. Thanks so so much crush wa mimi
 
Back
Top Bottom