Jamani rafiki ndio umeandika kinyakyusa au?Syonangike tayari...
Hawa panya wa humu ndani wanapenda vitu vya sukari balaa.Panya na cake vitu viwili tofauti niletee cake yangu mimi
Hiki lazima kaandikiwa, Bonny sio wa 'kingreza' hicho!!Hiki kimombo si cha kikoloni. Huyu jamaa atakuwa kasoma International School kuanzia nursery kipindi cha vyama vingi.
Happy birthday Heaven Sent
Grow wise, live long.
Hata mimi nimekumisimo sana. Shemeji hapo kwenye panya ndipo palipo nitatiza.Yaani panya huyu huyu asiye jua kulipa kodi kwenye nyumba anazo lala au panya wa kwenye rodi (panya rodi)?Jamani rafiki ndio umeandika kinyakyusa au?
Za kupotea? Miss you.
Huyo panya Shunie ndio anamjua maana ameshakula vitu vyangu vingi tu. Kwahiyo usihofu shemeji.Hata mimi nimekumisimo sana. Shemeji hapo kwenye panya ndipo palipo nitatiza.Yaani panya huyu huyu asiye jua kulipa kodi kwenye nyumba anazo lala au panya wa kwenye rodi (panya rodi)?
Nipo shemeji,mambo mengi yana bana
Nilivyo anza uvivu wa kunywa maji nikaamua nimtoe.Sikutaka kwenda kukaa sana kule kusubiria ....utoke kwa ajili ya vipimoHuyo panya Shunie ndio anamjua maana ameshakula vitu vyangu vingi tu. Kwahiyo usihofu shemeji.
Kwani shemeji unajificha wapi? Na ulivyobadilika sura kidogo nikusahau. Nilishamzoea yule sijui ni samaki
Hahahaaaa! Kati ya uvivu hutakiwi kuwa nao ni wa kunywa maji shem. Hebu jitahidi tu.Nilivyo anza uvivu wa kunywa maji nikaamua nimtoe.Sikutaka kwenda kukaa sana kule kusubiria ....utoke kwa ajili ya vipimo
nipo salama salimini !sijui wewe!Nakusabahi mama.
haaaaaaaaaaaaaaaa !Ahsante mrs pampula
Niko poa kabisa, umepotea sana mama. Ndio maandalizi ya sikukuu?nipo salama salimini !sijui wewe!
Thanks momma the best. Le Babes love you more than thatHeri ya siku ya kuzaliwa the best mini me. You know how much i love you darling.
I wish you all the best in yo life, enjoy it to the fullest.
Yo the best so expect the best too.
Cc Benny
Haha ulikuwa ndotoni au?Nilikutumia m-pesa tangu jana, usiniambie unataka niongeze nyingine.
na kweli nimepotea ! nadekezwa huku aisee ! nakula maraha miji ya wenyeweNiko poa kabisa, umepotea sana mama. Ndio maandalizi ya sikukuu?
Amen shunie. Keki na Heineken atakuletea bonnyHappy birthday heaven sent Yesu azidi kukutunza naombeni cake tu mimi
Birthday imemuibuaSijui kaibukia wapi huyu mtu. Kitambo sana sijamuona.
Mmh shikamoo miamalaAnd here is the best mkwe i ever had!!
We love you mkwe, you completed our family since you came along. Be blessed.
Amen. Thanks dearHbd to you beautiful. God bless you
My dota niko chini ya viganja vyako naomba usirithi hilo. Ibakie kuwa bonus tu. Ila hii nayo sijui ulirithi wapi[emoji57]Haha ulikuwa ndotoni au?
Ahsante mkaka wa nguvuHappy birthday mrembo wa nguvu.