Yaani ukiweka pesa hata siwazi mara mbili nahama fasta, mtabaki mnasema mie nakula tu. Kujitia uzalendo wakati alikufa nao Karume sitaki mimi.
Sawa shemeji nitajitahidi, ili iwe rahisi dharula ikitokeaHahahaaaa! Kati ya uvivu hutakiwi kuwa nao ni wa kunywa maji shem. Hebu jitahidi tu.
Nchi yangu niipendayo kwa moyo na akili zangu zote[emoji85] [emoji85]haaaaaaaaaaaaaaaaaaaa my ribs !Ee Tanzania yangu
Hahahaaaaa!naijua !44
tukilala tunaiota TZNchi yangu niipendayo kwa moyo na akili zangu zote[emoji85] [emoji85]
teh teh !hayaHahahaaaaa!
41 bwana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sawa shemeji nitajitahidi, ili iwe rahisi dharula ikitokea
Aaaaah kwakweli, hivi ule wimbo aloutunga aliwaza nini? Eti nilalapo nakuota wewe!! Chaaah!tukilala tunaiota TZ
[emoji125] [emoji125] ngoja ninywe maji,nitarudi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hivi shemeji hii dharura unayoizungumzia ni ipi kwanza?
Usipoleta ujiandae tu kurudi kwakweli. Kunyanyasana kisaikolojia sio vizuri.teh teh !haya
Hahahaaaaaa!! Shemeji sio kwa dharura hiyo.[emoji125] [emoji125] ngoja ninywe maji,nitarudi
Aaaaah kwakweli, hivi ule wimbo aloutunga aliwaza nini? Eti nilalapo nakuota wewe!! Chaaah!
Usipoleta ujiandae tu kurudi kwakweli. Kunyanyasana kisaikolojia sio vizuri.
Hahahaaaaaa!!!hahahaa alikua nabii nadhan!maana si kwa mapenzi haya jaman !sijui ndo alitunga babake nape naskia?
naipenda Tanzania jaman !sitaman ht kutoka nje ya tz maisha yangu yooote !angalia tulivyo na demokrasia nzuri ,ustawi wa jamii mubashara!awwww Tanzania weee
Sijaribiwi ujue!! Ohooooo!!
Nalendwa nae asijifanye akesahau, aliniahidi heels na akasema atanifundisha kuvitembelea. Ila mwaka wa nne huu naona atakuwa anajiandaa kuniletea meli nzima.
Hahahaaaaaa!!!
Mie niko nje ya nchi huku chato. Kwani we uko bado TZ?
Best mwenyekiti ever!!! Lipumba haoni ndani 😀hahahaha kanifundisha Evelyn Salt aisee !maana wewe na yeye dah handsup