in ha
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 1,726
- 3,888
Nakupendaga tuu bure bbysis[emoji7] [emoji7] [emoji8]Thanks dearest
Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakupendaga tuu bure bbysis[emoji7] [emoji7] [emoji8]Thanks dearest
Love you too big sis bureeeNakupendaga tuu bure bbysis[emoji7] [emoji7] [emoji8]
Sent from my TECNO W2 using JamiiForums mobile app
Amen Amen big sisHappy birthday baby girl.
Hekima yako iongezeke, matarajio yako yakawe, neema isikupungukie, amani ile ipitayo amani yote ikafanye makazi ya kudumu moyoni mwako.
Haha haya bhana.Ha ha ha Mzee we acha tu ilibd nimtafute mtoto mmoja anasomaga hiz english medium tuanze kufanya drafting maana ukinambia niandike mwenyewe sa hv unantoa knock out
Bro,Happy Bithday to someone's in the Class A Team.
Been this beauty and cool since sixthteen...
Wewe ndiye unatakiwa kutoa keki full stop hakuna mjadala hapo na ole wako useme vyuma vimekaza tutakusweka rumande.Happy birthday heaven sent Yesu azidi kukutunza naombeni cake tu mimi
naona hadi kakupiku.Hiki kimombo si cha kikoloni. Huyu jamaa atakuwa kasoma International School kuanzia nursery kipindi cha vyama vingi.
Happy birthday Heaven Sent
Grow wise, live long.
Kwa nani sasa? Na habari za kushtakiana tumeanza lini tena jamani[emoji85] [emoji85] [emoji85]Auntie nakushtakiiii
Hii salamu mbona kama sijaielewa hivi!!!Bro,
Nakusalimu.
Hahaha... namtania shemeji bhana nawatakia kheri na fanaka za krismas na mwaka mpya.yes !sema shemeji yako !jamani mbona ivyo???
Haujaelewa nini.. bro, au nakusalimu?Hii salamu mbona kama sijaielewa hivi!!!
Naomba unitolee kwa niaba yangu yaan Mungu atakubariki mnooo me nipo porini huku juu ya mti hakuna cake hakuna chochoteWewe ndiye unatakiwa kutoa keki full stop hakuna mjadala hapo na ole wako useme vyuma vimekaza tutakusweka rumande.
Kwa Bonny auntie nakushtaki hutaki kunipa cake yanguKwa nani sasa? Na habari za kushtakiana tumeanza lini tena jamani[emoji85] [emoji85] [emoji85]
oouh kumbe upo juu ya miti haya nimekusamehe.. umekuwa nyani?Naomba unitolee kwa niaba yangu yaan Mungu atakubariki mnooo me nipo porini huku juu ya mti hakuna cake hakuna chochote
Vyote.Haujaelewa nini.. bro, au nakusalimu?
Ndio unatafuta network?Naomba unitolee kwa niaba yangu yaan Mungu atakubariki mnooo me nipo porini huku juu ya mti hakuna cake hakuna chochote
Oooh kumbe ni kwa Bonny, nikusindikize?Kwa Bonny auntie nakushtaki hutaki kunipa cake yangu