Hehehehe mdogo mdogo, kuna ambao wanajisikia tu kuniwish hata kama birthday ilishapita namimi kiroho safi napokea wishes zoteUmefunika mbaya hadi leo bado kuna wishez
Umeweka karekodi
SI MCHEZO
Hehehe nimeshamjibu tayariSubiri mwenyewe aamke akujibu kwa vijineno vitamu utaelewa
Thank you so much Mussolin5 I real appriciate this
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Asante sana sana makaveli10Ngumu kusema happy birthday wakat ishapita, ila ni rahisi kukuombea dua na mambo mema kedekede katika maisha yako ya sasa na yanayokuja..
Wish you all thr best bhana, allah akutizame kwa jicho la huruma, akupe kila lenye kheri ndan yake.
Akupe umri mrefu na afya tele.
Akujaze imani n kukuongoza.
One loveworry out, you are welcome!
Na zaidi kama ikiwezekana ila usifikie tu umri wa mateso..Asante sana sana makaveli10
Nashukuru sana kwa maombi yako na naamini itakuwa hivyo
Hehehe niishi miaka 200 au vepe[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Kwa kweli I have to proudly admit kwamba katika wana jamvi ninaowaheshimu humu especially michango yao basi muungwana Jimena ni mmoja wapo. Michango yake kwa wale waliokulia Dar es Salama wanasema "ilikwenda shule".lkn now umelose cz ya kushinda sana kwenye makapuku forum rudi intelligence ndiko kunakufaaAsante sana sana makaveli10
Nashukuru sana kwa maombi yako na naamini itakuwa hivyo
Hehehe niishi miaka 200 au vepe[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
He he he ngoja tuoneNa zaidi kama ikiwezekana ila usifikie tu umri wa mateso..
Mwezio nabii ibrahim aliomba aishi miaka kedekede, siku akaonesha jinsi kizee kinavyoishi kwa shida, fasta akachange mind.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mbona intelligence nipo sana tu,Kwa kweli I have to proudly admit kwamba katika wana jamvi ninaowaheshimu humu especially michango yao basi muungwana Jimena ni mmoja wapo. Michango yake kwa wale waliokulia Dar es Salama wanasema "ilikwenda shule".lkn now umelose cz ya kushinda sana kwenye makapuku forum rudi intelligence ndiko kunakufaa
"Uko thawa kabissa.."Mbona intelligence nipo sana tu,
By the way ile chatroom (makapuku) ni kama maji usipoyanywa utayaoga
Kuwepo pale hakunizuii kuchangia mada zinazonigusa mahali pengine
Asante sana mkuu
Kwani we ulitakaje???Mbona katugeuzia makalio au ndo