Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshamwambia aniamkie na ndo nasubiri mana kila mshumaa mmoja unawakilisha miaka 10Subiri mwenyewe aamke akujibu kwa vijineno vitamu utaelewa
Karibu keki basinamsubiri
Picha yangu iko kwenye avatar mkuu, ukiichungulia vizuri unaniona fresh kabisaKweli inabidi aweke hata kapicha basi!
nirushie kwa blututhiKaribu keki basi
Hahahahahaha naona mkuu, vigezo na masharti kuzingatiwaKwanza naye ni kapuku?! Its important kujua hili kwa BishopTembo
Mkuu mbona sioni sura,naona kama jiwePicha yangu iko kwenye avatar mkuu, ukiichungulia vizuri unaniona fresh kabisa
Asante sana sana sizzya007 sasa imekuwa vizuri nilivyowahi ili siku za kufurahia ziongezeke.Happy birthday Jimena, long live ukapuku wetu.
Damn!!! Ungechelewa siku moja tu ungekuwa umeangukiwa katika siku muhimu kweli humu JF, MAKAPUKU REVOLUTION DAY😀😀
Raha ya keki ulishwe........ Shauri yakonirushie kwa blututhi
Thank you dear hapa Leo ni yummy yummy kama jina lako heheheHappy Birthday to you.
Long Life
Hehehehe basi nimefanana na jiwe[emoji85]Mkuu mbona sioni sura,naona kama jiwe