structuralist
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,230
- 907
Mkuu kwahiyo kuna miaka.huwa huna siku ya kuzaliwa? Kwahiyo mwaka huu inabidi ufurahi sana maana kuna 29 kwanye mwezi wa FebruaryWa tarehe 29 february hawamo humu..?
Cjazaliwa Feb mkuu.. nilikuwa ninauliza tuu kutaka kujua kama wako walio na bahati ya kuzaliwa tarehe 29 Feb.. mie ni wa 14 November..Mkuu kwahiyo kuna miaka.huwa huna siku ya kuzaliwa? Kwahiyo mwaka huu inabidi ufurahi sana maana kuna 29 kwanye mwezi wa February
Tumepishana kidogo mkuu mimi ni 28 February kama vip tutashare tu....
Nimekupata mkuuCjazaliwa Feb mkuu.. nilikuwa ninauliza tuu kutaka kujua kama wako walio na bahati ya kuzaliwa tarehe 29 Feb.. mie ni wa 14 November..
Atoto kumbe pacha wangu jamani ..daaAt last my twin is here, me too 12th January
Atoto kumbe pacha wangu jamani ..daa
Nihamishe cku yangu niilete Sept 16 ifananie yako..?[emoji12]September 16.
So Sad, i'm all alone.
Nihamishe cku yangu niilete Sept 16 ifananie yako..?[emoji12]
Nov 14..Ya kwako ni tarehe ngapi?
Nov 14..
Ntahamishia tarehe yako ili uciwe mpweke[emoji102]Duuh! Tofauti kbs
Ntahamishia tarehe yako ili uciwe mpweke[emoji102]
Wapi 25 Nov?????
binadamu wa kipekee....unanionea wivu???Hakuna, hiyo siku ulizaliwa peke yako.