Pamoja ndugu !@March 06
nilikuwa natafuta sana watu wa mei mosiMay 1
28 April,bado kidogo tufanane28 may
Since when umekuwa mburula tena omera?Hahahaha
Nimegundua sisi mamburula wa 6 June hatupo kabisa duniani
Since when umekuwa mburula tena omera?
Una birthday sawa na ya baba yangu. Hongera!June 23.....
Ahsante mwanangu Achiever_11....Una birthday sawa na ya baba yangu. Hongera!
Antie owadwa, ilal ainya!! Hapana my kaka wewe sio wa hilo kundi kabisa.Nyako in tieh...nimeamua kujiweka katika kundi la mburula sababu kila mtu anasema tarehe yake ni ya magenius na wanaintelijensia....hahahah