begi la pesa
JF-Expert Member
- Apr 11, 2019
- 1,124
- 1,946
Mimi july 20 ila nimeona tu kwanzia leo nisomeke july 19 piaJuly 19
Karibu[emoji1787][emoji1787][emoji1787], ulichelewa sana,Mimi july 20 ila nimeona tu kwanzia leo nisomeke july 19 pia
Mimi nesi alichelewa kuja.. Alhamisi saa 12 jioniKaribu[emoji1787][emoji1787][emoji1787], ulichelewa sana,
19 july,,j,5 saa 8 mchana.
6 june
Hahahaha
Nimegundua sisi mamburula wa 6 June hatupo kabisa duniani
Malegendary 06/6
Aka June 6. Mko wapi
June 6
June 6
Loooh alichelewa sana,Mimi nesi alichelewa kuja.. Alhamisi saa 12 jioni
11 Oct.
Siku moja na mzee wa makombora SurovikinView attachment 2661274
Twinhey twin...looh nlikua nasearch thread huku moyo unaenda mbio kila nkiona 13!!!
Finally found you!!!!
Twin13 january
18 March, where is my twin????
Same18 March
SameDuuh birthday za nyani hizi hata mmoja sjaona 18 March