100
Pacha nc to meet u
pacha upo?28 May
8/8 sijapata pacha
Mentor..... ushanirithi jina la Mjukuu Mtiifu? sawa wajinaBabuuuu...then siku 7 baadaye mjukuu mtiifu nikazaliwa...
28/01.
29 may, ilkuwa kuduchu2..
Inawezekana.najua kupenda sana hadi naogopa!sijui kucheat maana sijui kudanganya mi mkweli daima.mkwanja kila MTU anapenda mkwanja ndo maana asubuhi tunaacha stare he zote kusulubika tupate mkwanja
31st march. hii tarehe adimu sana kwa watoto kuzaliwa. nimechelewa kuona thread, ila I would like to meet my twin jamani kama yupo humu JF