Happy birthday Juma Kassimu 'Nature' mkongwe wa bongo fleva


Jitahidi kufanya uyafuti ndipo uandike 'Mondi hajawahi kuvaa nguo ya kijani'??? Hii ni nyekundu eee
 
...maamae!!


..ila kabla sijasahau,Nature sio kichaa,
.mwanao atakuwa tu amerithi akili zako!

Kuwa na Adabu!

May be Mimba ya Mwisho nimetungisha kabla ya Mama yako hajakatwa utepe mwekundu!
 
Nakumbuka ile verse moja akitoa dongo "Alipigwa denda mpaka gari ikagoma kwenda" jamaa alikuwa mbaya sema ndo tatizo la wasanii wetu wakipataga mafanikio wanabweteka hao, huyu angeamua kukaza angekuwa mbali sana
 
Mmoja kati ya waburudishaji bora kuwahi kutokea kwenye Bongo Flava.....
 
Kuwa na Adabu!

May be Mimba ya Mwisho nimetungisha kabla ya Mama yako hajakatwa utepe mwekundu!
...kwahiyo adabu ni kumrithisha mwanao utaahira wako kisha kutukana watoto wa watu vichaa,sio?
.wanakupekecha pa kunyea we mzee,sio bure!
 
HIyo tshirt aliyovaa imenikata mood, nimeghairi kusema "happy birthday"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…