Happy birthday kaka yangu Paka Mweusi

HONGERA SANA!.....

ijumaa ''patachimbika'' hapa daslam
 
Umwsahau kuwa watoto nao huwa wanang`ata na vile vi ufizi vyao,nitavitumia hivyohivyo.

Ha ha ha ha, haya bwana, kweli wanasemaga mwanaume ni mwanaume tu hata kama kana siku moja.

Sasa wapwa huwa wanasema hii ni sababu nyingine ya kukutana. Kwa hiyo leo ni wapi, Bunju, Boko, au???
 
Ha ha ha ha, haya bwana, kweli wanasemaga mwanaume ni mwanaume tu hata kama kana siku moja.

Sasa wapwa huwa wanasema hii ni sababu nyingine ya kukutana. Kwa hiyo leo ni wapi, Bunju, Boko, au???




Mi na wewe tutamalizana kimyakimya tu si unajua hawa wapwa huwa wanakuwa na vurugu kidogo................
 
Mi na wewe tutamalizana kimyakimya tu si unajua hawa wapwa huwa wanakuwa na vurugu kidogo................

Mmmmm, tumwalike hata mmoja basi, awawakilishe. Si unajua hawa ndo walinzi wangu ee!! Kuna vibaka huku acha.
 
😛lane:naja na kopo la rangi nyeupe...i wanna u look white jaman babu wa wajukuu wangu thou nakupenda kwa rang yako black....:smile-big:
mungu akuzidishie busara na hekima zaidi
love uuuuuuuuuuuuu!!!!!
 
😛lane:naja na kopo la rangi nyeupe...i wanna u look white jaman babu wa wajukuu wangu thou nakupenda kwa rang yako black....:smile-big:
mungu akuzidishie busara na hekima zaidi
love uuuuuuuuuuuuu!!!!!



Ulijificha wapi lakini siku ya leo bibi wa wajukuu zangu,anyway nashukuru kwa ujumbe na i love yoo too.Ila hilo kopo la langi naomba usije nalo.
 
HAPPY BELATED BIRTHDAY PAKA MWEUSI..sasa kwasababu ni mtoto,punguza mwendo,unakimbia sana kwenye avatar yako!:A S 39:!be blessed..
 
Happy Birthday PM,long live with lots of blessings in your life!!!!:smile-big::smile-big:
 
Happy birthday paka mweusi na mapaka wenzio wote. Zikifika zao wasiseme sijawawish.
 
HAPPY BELATED BIRTHDAY PAKA MWEUSI..sasa kwasababu ni mtoto,punguza mwendo,unakimbia sana kwenye avatar yako!:A S 39:!be blessed..



Thanks for a good message,lakini hapo kwenye mbio mh,itakuwa ngumu kidogo si unajua watu wengi hawanipendi,hivyo maisha yanakuwa ya kukimbia tu kila siku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…